Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Habari zilizozipata kutoka nzega kwenye chanzo changu ni kuwa Dk. Hamisi Kingwangala alihawi kugushi jina ili kujiendeleza kielimu. Mpo hapo?
===================
UPDATE:
Majibu ya Dr. Kigwangalla (MB)
===================
UPDATE:
Majibu ya Dr. Kigwangalla (MB)
Jaribu kusoma hapa kigwangalla.blogspot.com na utapata wasifu wangu kama nilivyouandika mwenyewe nilipotangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Nzega.
Pia waweza cheki hapa PEERCORPS - Home kwa taarifa zaidi kuhusu shughuli zangu za kijamii, na jaribu kusearch kwenye Google unawezapata some hits zinazomhusu Kigwangalla.
Kuna watu wengi sana humu wamewahi kusoma na au kufanya kazi na mimi sehemu mbalimbali, wanaweza kukupa majibu mengine na ya ukweli na uwazi zaidi kuhusu mimi na uwezo/uzoefu wangu wa uongozi, kuhusu credibility n.k., n.k.
Jina langu kamili ni hili hapa: Dk. Hamisi Andrea Kigwangalla (wengine huandika jina langu la ukoo kama Kigwangala) hivyo unaposearch jaribu kuweka yote mawili na utapata taarifa nyingi kidogo kuhusu mimi...
Ukitaka kujua zaidi kuhusu mimi na kutoka kwangu, nipigie kwenye namba za simu zilizopo kwenye blogu yangu [kwenye tangazo langu la nia.
Ahsante sana mniMiguwa mwichane [nilisoma Mwanzoli shule ya msingi mnamo mwaka 1991.
Regards,
H.K.
Mimi naitwa Hamisi Andrea Kigwangalla, kama kuna mtu anadai jina langu ni lake na kwamba nililinunua jina lake, sasa si alishaliuza (ha ha ha aaa), ukiuza kitu bado kinabaki kuwa cha kwako tu?
CHADEMA wanafanya siasa kwenye mambo wasiyoyajua. Mimi sijawahi-iba, nunua au hata kusomea shule jina la mtu! Kama yupo mwenye malalamiko hayo si afuate utaratibu wa kudai jina lake??? (Kama amedhulumiwa?)
Haters hamtofanikiwa kunishusha kama Mungu ameamua kunipandisha! You will struggle but you will never be successful since GOD is on my side and time is on my side!
Mjadala huu ulikuwepo sana enzi za kampeni na maelezo yalitolewa na yakatosha. Maajabu yameanza kuibuka upya yaleyale ya zamani baada ya kuona nafanya kazi nzuri jimboni kwangu na wanaolitaka jimbo kushtuka na kuona kimbunga Kigwangalla hakizuiliki!