Jina la mwaka 2012

Jewel

Senior Member
May 1, 2008
176
62
Habari zenu wana jf nawatakieni heri ya mwaka mpya.jamani naomba mnijuze maana ya jina hili maana nimepata msh katika mchina wangu nanukuu"waitu nakutona eibala ly'omwaka 2012 ni wechonche " akina ruta mpo??????????? Naomba maaana yake tafadhali
 
kwa mwaka 'abagurusi' (wazee wa kihaya) huwa wanakaa,wanatafakari na mwisho wanatoa jina la mwaka.2012 wameuita 'wechonche' meaning literally 'changamka'.Ni kama tulivyokuwa JKT enzi zile kila in take ilikuwa na jina la operesheni yake mfano operesheni kagera,operesheni ushindi,operesheni tija n.k.
 
Wahaya wana utaratibu wa kubatiza miaka.

Mwaka 2011 uliitwa TONGANA (Jutia, Ungama, pigania/ikomboe nafsi) labda hili jina lina uhusiano na makosa ya wapigakura na kisha matokeo ya utawala mbovu!

Mwaka 2012 wameubatiza WECHONCHE (Jishughlishe, Jibidiishe). Labda ujumbe ni kwamba kama mmejutia (Tongana) acheni sasa kulalamika sana, Jibidiisheni/jishughlisheni zaidi
 
kwa mwaka 'abagurusi' (wazee wa kihaya) huwa wanakaa,wanatafakari na mwisho wanatoa jina la mwaka.2012 wameuita 'wechonche' meaning literally 'changamka'.ni kama tulivyokuwa jkt enzi zile kila in take ilikuwa na jina la operesheni yake mfano operesheni kagera,operesheni ushindi,operesheni tija n.k.

asante baba
 
wahaya wana utaratibu wa kubatiza miaka.

Mwaka 2011 uliitwa tongana (jutia, ungama, pigania/ikomboe nafsi) labda hili jina lina uhusiano na makosa ya wapigakura na kisha matokeo ya utawala mbovu!

Mwaka 2012 wameubatiza wechonche (jishughlishe, jibidiishe). Labda ujumbe ni kwamba kama mmejutia (tongana) acheni sasa kulalamika sana, jibidiisheni/jishughlisheni zaidi

ubarikiwe kwa ufafanuzi
 
Wahaya wana utaratibu wa kubatiza miaka.

Mwaka 2011 uliitwa TONGANA (Jutia, Ungama, pigania/ikomboe nafsi) labda hili jina lina uhusiano na makosa ya wapigakura na kisha matokeo ya utawala mbovu!

Mwaka 2012 wameubatiza WECHONCHE (Jishughlishe, Jibidiishe). Labda ujumbe ni kwamba kama mmejutia (Tongana) acheni sasa kulalamika sana, Jibidiisheni/jishughlisheni zaidi

Pia siyo wakati wa kukaa kimiya sasa.Ni mwaka wa kila mtu kudai haki yake, kuboresha maisha yake kwa kufanyakazi kwa bidiii.KWA UFUPI NI MWAKA WA KUJILIPUA HILI UPATE FAIDA
 
Pia siyo wakati wa kukaa kimiya sasa.Ni mwaka wa kila mtu kudai haki yake, kuboresha maisha yake kwa kufanyakazi kwa bidiii.KWA UFUPI NI MWAKA WA KUJILIPUA HILI UPATE FAIDA

Mkuu upo?
Umepote sana mzazi....
Mwaka tunauanzaje huu??
 
Back
Top Bottom