arusha eeh:confused2:
hata bukoba pale miembeni, pia arusha ukiacha hapo mianzini ambapo wameanza kuita bata mzinga ipo bar ya songambele pale sakina hata mwanza mitaa ya kilumba mkuu zipo nyingi
arusha eeh:confused2:
yaani kila ukienda sehemu utakutana na jina hili " MA.TA.KO. bar
Hivi hili ninini kinapelekea kuitwa hv?
Hata jina la bar linakuwa ni jingine ila duh linapachikwa hili jingine
mmh inanikera sana
Jamani kunani