Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Watakuwa Chadema tu hao
Kwani chadema ndio waliomchagua mpaka wakamdai ahadi alizoahidiWatakuwa Chadema tu hao
kwel kabisa CDM ni wajanja hawatak mambo ya kisanii ya ccmagamba,VIVA CHADEMA HAKUNA KULALA MAANDAMANO MBELEEEWatakuwa Chadema tu hao
hali si nzuri zimepelekwa defender 6 za Polisi kuzima fujo, wananch wamechachamaatupeni habari zaidi jamani?
Wa chama cha Magamba plus plusWa Chama gani??
inabidi wananchi wawe wavumilivu jamaa hajamaliza hata mwaka tangu achaguliwe.
Ni mbunge wa Msalala na hizo habari ni za kwelimbunge wa kahama, wananch wamevamia nyumbani kwake segese
inategemea alitoa ahadi ya muda gani, uvumilivu una kikomoinabidi wananchi wawe wavumilivu jamaa hajamaliza hata mwaka tangu achaguliwe.
kwel kabisa CDM ni wajanja hawatak mambo ya kisanii ya ccmagamba,VIVA CHADEMA HAKUNA KULALA MAANDAMANO MBELEEE
tena wanasema na asikanyage jimboni humo tena ahamishe familia yake.inategemea alitoa ahadi ya muda gani, uvumilivu una kikomo
Watakuwa Chadema tu hao
dogo maige anaburuzwa hadi na mamiss wa india kuwatafutia millioni mia kadhaa ati waje kutangaza nchiAma kweli ndani ya CCM sijui vyeo wanapeana vipi . Nimewahi kusafiri na huyu jamaa alkiwa Mbunge tu kwenye local flight anaenda kwao huko hakika katik maongezi nilimuona mtupu sana . Hana point zaidi ya kuonyesha maguvu na uwingi wao.Leo eti ni waziri kamili mie nimechoka kabisa .
wasubiri nini mbona yeye asingesubiri umeme wapate wote yeye na wanainch wake?inabidi wananchi wawe wavumilivu jamaa hajamaliza hata mwaka tangu achaguliwe.
Nadhani anastaili kufanyiwa hivyo kwanini ajiwekee jenereta? inamaana umeme sijui kama utakuja ndio maana ameamua kujiiwekea umeme.Jazba nyingine za kipuuzi. Miezi sita tu imepita wanaanza kulalamika. Walitaka kila mtu apewe jenereta? Wanamuonea na vitendo hivyo ni vya kihalifu.
we ni mku...nd.... hauogi ...anaonewa kwani anachukua PESA KWA BABAKE... ACHA UKUMA... I DONT CARE.............. PPZ.......Jazba nyingine za kipuuzi. Miezi sita tu imepita wanaanza kulalamika. Walitaka kila mtu apewe jenereta? Wanamuonea na vitendo hivyo ni vya kihalifu.
tena wanasema na asikanyage jimboni humo tena ahamishe familia yake.