kuna jimbo ambalo wananchi wake huwa wanapima nani mkweli na nani ni muongo kisha wanampa kura, sio jingine bali ni jimbo la moshi vijijini! kwa jinsi navyoelewa watu wa moshi vijijini chadema wakiweka nguvu kidogo sana wanachukua lile jimbo kama kumsukuma mlevi vile!
changamoto yangu ni kwamba lile jimbo ni potential na huwa hakuna propaganda, kama mnataka kujua watu hawa walivyo mwulizeni agustino lyatonga mrema! watu hawa wa moshi vijijini si sawa na arumeru au songea au morogoro au dodoma. wako tofauti kabisa wanaweza kukupa asilimia 90 ya kura kama una bahati na ukaeleweka kwenye kauli zako si kama za kina lusinde
chadema andaeni kichwa kwa ajili ya kulichukua hili jimbo, mbunge wa sasa hakuna anachokifanya tena ni mgonjwa
changamoto yangu ni kwamba lile jimbo ni potential na huwa hakuna propaganda, kama mnataka kujua watu hawa walivyo mwulizeni agustino lyatonga mrema! watu hawa wa moshi vijijini si sawa na arumeru au songea au morogoro au dodoma. wako tofauti kabisa wanaweza kukupa asilimia 90 ya kura kama una bahati na ukaeleweka kwenye kauli zako si kama za kina lusinde
chadema andaeni kichwa kwa ajili ya kulichukua hili jimbo, mbunge wa sasa hakuna anachokifanya tena ni mgonjwa