Waliokuwa Wanasema oh Mnyika haleti Maji Ubungo.. Semeni tena sasa. Maana Kelele ni Nyingi...
SUBIRA YAVUTA HERI... Si kelele tu
Mnyika ni moto wa kuotea mbali achana naye nyinyi pro-ccm
Sema waliosema serikali haitekelezi ahadi sake wajitokeze sasa, Mh. Washwa washwa hana kitu ni serikali ndio yafanya hayo, shukuruni serikali
hongera mnyika ila ujitahidi hizo pesa zitumike ipasavyo kama mlivyokusudia.