Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Sasa hivi nimetoka kuongea kwa simu na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Mhandisi Humphrey Abraham Tuni juu ya mwenendo wa kura kaniamba "it is too close to call..." na bado wanakusanya takwimu..........mara atakapojua kwa undani atanijulisha leo hii hii.
Nilipomwuliza matokeo ya Sanya juu alikiri kuwa ni sahihi kama yalivyotolewa na gazeti la Mwananchi yaani:-
Katika Kata ya Sanya Juu jimbo la Siha CCM imepata 1,269 na Chadema 949.
Nitawahabarisha kama habari zitakapokuwa zinaingia ofisini kwangu hapa Arusha mjini..............
Nilipomwuliza matokeo ya Sanya juu alikiri kuwa ni sahihi kama yalivyotolewa na gazeti la Mwananchi yaani:-
Katika Kata ya Sanya Juu jimbo la Siha CCM imepata 1,269 na Chadema 949.
Nitawahabarisha kama habari zitakapokuwa zinaingia ofisini kwangu hapa Arusha mjini..............