Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,397
- 92,728
Wakuu nawasalimu wote kwa jina la aliye mkuu,
Sikuwa na ulazima wa kuanzisha thread hii lakini nimelazimika kuianzisha thread hii mapema ili kuondoa mikanganyiko isiyokuwa na ulazima
Ikumbukwe kesho ndio tarehe 2 may, kwa sisi wapiga kura wa Segerea tunategemea kutendewa haki yetu na Mahakama kuu kuhusu kesi ya Fred Mpendazoe vs Makongoro Mahanga.
Sasa basi si nia yangu kupendekeza udikteta au ukiritimba wa Habari, bali kutokana na mfumo mbovu unaooneshwa na baadhi ya Member wenzetu hapa katika kupashana habari napendekeza hivi:
Invisible kesho ndiyo abebe jukumu la kuanzisha thread kwa Mtindo wa LIVE ili members wengine ndio watakuwa wanatupia habari kwenye thread, kwa Sababu kesi hii iko Mahakama kuu Dar es salaam nina uhakika watu wengi watakuwa na access ya kuleta habari Immediate.
Hayo ni maoni yangu tu wadau, au mnasemaje?
Sikuwa na ulazima wa kuanzisha thread hii lakini nimelazimika kuianzisha thread hii mapema ili kuondoa mikanganyiko isiyokuwa na ulazima
Ikumbukwe kesho ndio tarehe 2 may, kwa sisi wapiga kura wa Segerea tunategemea kutendewa haki yetu na Mahakama kuu kuhusu kesi ya Fred Mpendazoe vs Makongoro Mahanga.
Sasa basi si nia yangu kupendekeza udikteta au ukiritimba wa Habari, bali kutokana na mfumo mbovu unaooneshwa na baadhi ya Member wenzetu hapa katika kupashana habari napendekeza hivi:
Invisible kesho ndiyo abebe jukumu la kuanzisha thread kwa Mtindo wa LIVE ili members wengine ndio watakuwa wanatupia habari kwenye thread, kwa Sababu kesi hii iko Mahakama kuu Dar es salaam nina uhakika watu wengi watakuwa na access ya kuleta habari Immediate.
Hayo ni maoni yangu tu wadau, au mnasemaje?