MAWANI
Member
- May 12, 2009
- 71
- 1
Habari nilizopata hivi punde toka jimbo la Uchaguzi la Ngara Mkoani Kagera, ni kuwa lina wagombea wawili Moja ni Ndugu Ruhuza wa NCCR na Mzee Ntukamazina. Wakati Ruhuza anapiga kampeni kwa bid bila kuwa na washabiki wengi, Mgombea wa CCM Ntukamazina yuko kwenye matibabu India baada ya kupata ajari jijini Dar.
Habari zinasema kwamba viongozi wa CCM wa wilaya wanatembeza picha ya mgombea na kuendesha kampeni mpaka hapo atakaporudi.
Habari hizi nimezipata kwa njia ya simu toka kwa rafiki yangu aliyeko jimbo hilo la uchaguzi. kama kuna aliye na habari zaidi au picha, atujuze zaidi.
Habari zinasema kwamba viongozi wa CCM wa wilaya wanatembeza picha ya mgombea na kuendesha kampeni mpaka hapo atakaporudi.
Habari hizi nimezipata kwa njia ya simu toka kwa rafiki yangu aliyeko jimbo hilo la uchaguzi. kama kuna aliye na habari zaidi au picha, atujuze zaidi.