Wana JF naomba niwasilishe ombi kwa makamanda wasaidie kuchunguza mradi wa madini yanayotolewa Mbaga wilsya ya Same vie kijiji cha Mwembe kupelekwa Kenya.
Kwa miaka mingi zaidi ya mitano kuna huo mradi lakini wananchi hawajafaidika na chochote kila leo milori inakuja kuchukua hayo madini. Makamanda huo mradi ni wanani na kwanini wanavijiji wamefungwa midomo. Huyo mtu ambaye anaambiwa ni mradi wake anaitwa Wille ( ndio jina linajulikana kwa wanakijiji). Naomba hili lifuatiliwe ukiyaona hayo maloro kwa mkupuo yanaweza yakaja mapya saba ukiweka na yazamani! Jamani chinde wasaidieni wapare wamelala..
Ni ombi wakuu.
Kwa miaka mingi zaidi ya mitano kuna huo mradi lakini wananchi hawajafaidika na chochote kila leo milori inakuja kuchukua hayo madini. Makamanda huo mradi ni wanani na kwanini wanavijiji wamefungwa midomo. Huyo mtu ambaye anaambiwa ni mradi wake anaitwa Wille ( ndio jina linajulikana kwa wanakijiji). Naomba hili lifuatiliwe ukiyaona hayo maloro kwa mkupuo yanaweza yakaja mapya saba ukiweka na yazamani! Jamani chinde wasaidieni wapare wamelala..
Ni ombi wakuu.