Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Tanzania zaidi ya uijuavyo...ukiona manyoya ujue ashaliwa.
hizi habari cjui kama zina ukweli wowote maana CCM pia hawana mbunge yoyote pemba!!!!Jamani nilipost jana ila nadhani sikueleweka.
Kwa matokeo yaliyopo kwenye tume ya uchaguzi inaonekana kuwa Chadema walishinda Ubunge Pemba jimbo la Chambani na
Wakachakachua ushindi kwa mshindi wa Pili Gamba.
Angalia matokeo haya ya mwaka jana nilivyoyapata toka kwenye mtandao wa Tume.
Kuna muda kweli wa kwenda mahakamani kudai haki??
KUSINI PEMBA
MKOANI
CHAMBANI
Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes[URL="http://www.nec.go.tz/2010/ParliamentaryPhotos/5b4300a1-f359-4bc6-8b36-bbb683a667c4.jpg"]SITI USSI SHAIB
CHADEMA3,351
76.3
MOH'D ABDUL-RAHMAN MWINYI
CCM624
14.21
MUHAMMED JUMA MUHAMMED
TLP211
4.8
SALEH NASSOR HILAL
TADEA88
2
SALIM HEMED KHAMIS
CUF43
0.98
SPOILT VOTES
75
1.71
TOTALS
4,392
100
[/URL]
Jamani nilipost jana ila nadhani sikueleweka.
Kwa matokeo yaliyopo kwenye tume ya uchaguzi inaonekana kuwa Chadema walishinda Ubunge Pemba jimbo la Chambani na
Wakachakachua ushindi kwa mshindi wa Pili Gamba.
Angalia matokeo haya ya mwaka jana nilivyoyapata toka kwenye mtandao wa Tume.
Kuna muda kweli wa kwenda mahakamani kudai haki??
KUSINI PEMBA
MKOANI
CHAMBANI
Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes[URL="http://www.nec.go.tz/2010/ParliamentaryPhotos/5b4300a1-f359-4bc6-8b36-bbb683a667c4.jpg"]SITI USSI SHAIB
CHADEMA3,351
76.3
MOH'D ABDUL-RAHMAN MWINYI
CCM624
14.21
MUHAMMED JUMA MUHAMMED
TLP211
4.8
SALEH NASSOR HILAL
TADEA88
2
SALIM HEMED KHAMIS
CUF43
0.98
SPOILT VOTES
75
1.71
TOTALS
4,392
100
[/URL]
The FACT......Matokeo ya URAIS : Mkwe.re 48%, Dr Slaa 42 %.
Ucahguzi ulikuwa urudiwe wakuu jamaa wakachakachua
Hivi nyie mmekazana kuwa huyo aliyepata huko magwanda? mnanchekesha. Siku magwanda wanachukuwa ubunge Zanzibar, kokote pale, mie naihama CCM. Mawee!