Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Jamaa alidhibitiwa vilivyo.Halafu nimegundua ni hatari sana kupigana na mwanamke wakati una hasira za kupitiliza,anakudunda.
dah yani demu ni balaa asee..! ukipata kama hili halafu likakufumania mzee unakua mdogo kinyama yani..! unaishia kujuta kwanini umemuoa na kumuacha huwezi..! kuna jamaa tanga alikua anapewa mambo na wife wake..! kinyama ila..! alikua anamfichia siri mumewe..! hata alikua akimpa mambo alikua lazima afunge nyumba..! wacha kabisaa..!