Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Apr 10, 2012 #1 wenyeji mmepabaini hapa? kuna vioo-ngozi wote wa nchi,wanapitia hapa hapa kwenda kuhani, kuzindua etc
wenyeji mmepabaini hapa? kuna vioo-ngozi wote wa nchi,wanapitia hapa hapa kwenda kuhani, kuzindua etc
Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Apr 10, 2012 #3 Mkuu ni maeneo gani hayo, maana sijapashika vizuri, khaa
NATA JF-Expert Member May 10, 2007 4,492 1,311 Apr 10, 2012 #5 Kituko said: Mkuu ni maeneo gani hayo, maana sijapashika vizuri, khaa Click to expand... Akiba , hili tatizo ni sugu linahitaji kikombe cha babu!
Kituko said: Mkuu ni maeneo gani hayo, maana sijapashika vizuri, khaa Click to expand... Akiba , hili tatizo ni sugu linahitaji kikombe cha babu!
landless Member Mar 6, 2009 81 9 Apr 10, 2012 #7 chambers watu wanatoka namifuniko,nakuuza aka schrepa,sasa zimeziba,basi tabu tupu maeneo ya upanga,umasikini wetu fikra zetu,nchi yetu.
chambers watu wanatoka namifuniko,nakuuza aka schrepa,sasa zimeziba,basi tabu tupu maeneo ya upanga,umasikini wetu fikra zetu,nchi yetu.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Apr 10, 2012 Thread starter #8 PakaJimmy said: photoshop? Click to expand... ama kweli mbaazi ukikosa maua husingizia jua..kila kitu itakuwa photoshop, nadhani watz wote tunahitaji kujiunga na freemason.....
PakaJimmy said: photoshop? Click to expand... ama kweli mbaazi ukikosa maua husingizia jua..kila kitu itakuwa photoshop, nadhani watz wote tunahitaji kujiunga na freemason.....
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Apr 10, 2012 Thread starter #9 NATA said: Akiba , hili tatizo ni sugu linahitaji kikombe cha babu! Click to expand... ukiona misiba inavyoendeshwa utadhani si tz......
NATA said: Akiba , hili tatizo ni sugu linahitaji kikombe cha babu! Click to expand... ukiona misiba inavyoendeshwa utadhani si tz......
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Apr 10, 2012 Thread starter #10 NATA said: Only in TZ? Click to expand... not in tz, in Dar the commercial city of Tz
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Dec 8, 2010 7,515 6,489 Apr 10, 2012 #12 Maeneo ya Chuo cha Biashara CBE- DSM, itakuwa mipira ya kiume imeziba mitaro maana wanafunzi wa chuo hicho wako bize sana na yale mambo.
Maeneo ya Chuo cha Biashara CBE- DSM, itakuwa mipira ya kiume imeziba mitaro maana wanafunzi wa chuo hicho wako bize sana na yale mambo.