mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Ni swali ambalo huwa najiuliza ni nani anayewajibika kukataza au kuruhusu mifugo kwenye Makazi ya watu, nikiwa mkazi wa eneo ambalo limetengwa na Serikali kwa ajili ya makazi ya watu, kumekuwepo na ukiukwaji wa Mipango miji, ikiwa ni pamoja na kuweka mifugo sehemu za makazi, utitili wa Maduka kwenye kuta za nyumba zao, ubadilishwaji matumizi ya Ardhi kufuatana na maombi ya ardhi. haya yanaendelea kutokea kwenye VIWANJA Vingi vya BUNJU BEACH Kwa MKANADA, baadhi wameleta mifugo kwenye viwanja vyao, mifugo hiyo inasababisha hasara zifuatazo:
1. Mmomonyoko wa Barabara kwani ni za bararbara za Vumbi.
2. Wakiachiwa wanakula Mimea ya watu kama Miti, maua na kuaribu kuta na mazingila kwa kuacha vinyesi ovyo.
3. Wanyama hawa wanapokuwa hawajapatiwa chakula usiku huwezi pata usingizi kwa kuwa wanapiga kelele sana ukizngatia chakula chao ni cha kutafutwa, hawana malisho, wananyama hao , ni nguruwe, Mbuzi Ngombe na Kondooo.
4. Kwa kuwa hawa wanyama hukojoa hovyo na niwachafu sana wanaweza kuleta magonjwa kama ifuatavyo-
maralia kwa sababu ya maji maji na unyevunyevu kuna mazalia yambu, Kipindu pindu kwa kuwa ni vinala wa kuleta INZI .
5. Wanaweza kusababisha uvunjifu wa Amani kwa kuwa wanaowafuga wanaona wana haki ya kufanya hivyo, wakati ambao hawafungi wanaona kero hivyo kuan mifarakano mingi sana mpaka majirani hawaongei kufuatana na wafugaji kuwa wakali wanapoambiwa au kudai haki ya uaribibu.
Mwisho naomba Mamlaka husika /Jiji/ ardhi waje bunju watuondolee mifugo ilik kukomesha tabia ya kuaribu Mazingira kwa makusudi na kusababisha uvunjivu wa amani
1. Mmomonyoko wa Barabara kwani ni za bararbara za Vumbi.
2. Wakiachiwa wanakula Mimea ya watu kama Miti, maua na kuaribu kuta na mazingila kwa kuacha vinyesi ovyo.
3. Wanyama hawa wanapokuwa hawajapatiwa chakula usiku huwezi pata usingizi kwa kuwa wanapiga kelele sana ukizngatia chakula chao ni cha kutafutwa, hawana malisho, wananyama hao , ni nguruwe, Mbuzi Ngombe na Kondooo.
4. Kwa kuwa hawa wanyama hukojoa hovyo na niwachafu sana wanaweza kuleta magonjwa kama ifuatavyo-
maralia kwa sababu ya maji maji na unyevunyevu kuna mazalia yambu, Kipindu pindu kwa kuwa ni vinala wa kuleta INZI .
5. Wanaweza kusababisha uvunjifu wa Amani kwa kuwa wanaowafuga wanaona wana haki ya kufanya hivyo, wakati ambao hawafungi wanaona kero hivyo kuan mifarakano mingi sana mpaka majirani hawaongei kufuatana na wafugaji kuwa wakali wanapoambiwa au kudai haki ya uaribibu.
Mwisho naomba Mamlaka husika /Jiji/ ardhi waje bunju watuondolee mifugo ilik kukomesha tabia ya kuaribu Mazingira kwa makusudi na kusababisha uvunjivu wa amani