Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mamlaka ya jiji imeomba kuipiga mnada jengo la Machinga Complex kwa kuwa hawana fedha za kulipa deni hilo linaloelekea zaidi ya bilioni 32
huku kikwete alitoa ahadi 2010 ya kujenga jingine kinondoni na temeke!NSSF tuambieni madeni yasiyolipika ni kiasi gani?
Mamlaka ya jiji imeomba kuipiga mnada jengo la Machinga Complex kwa kuwa hawana fedha za kulipa deni hilo linaloelekea zaidi ya bilioni 32
alafu eti NSSF wanataka wakawekeze na Nairobi pamoja na Maputo.Hela zetu kupitia NSSF! Na bado mnategemea ukifikisha miaka 55 ama 60 kuwepo na hela za kukulipa mafao yako??!!??
Mkuu, kwa njia ya mnada inamaana watauziana kwa chini ya Billion moja, Am telling you haitozidi hapa!Mamlaka ya jiji imeomba kuipiga mnada jengo la Machinga Complex kwa kuwa hawana fedha za kulipa deni hilo linaloelekea zaidi ya bilioni 32
Inafaa aliyeandika "feasibility study" ya huo mradi anyongwe kabla ya hatua yoyote kuchukuliwa
hizi lugha za 'feasibility', projects, michakato nk zinawasidia sana wenzetu kupata maendeleo lakini hapa kwetu ukizisikia tu ujue ni umasikini!!!usungilo "feasibility" study haikueleza utaratibu utakaotumiwa kuwapata wapangaji? Kama jibu ni ndiyo, utekelezaji umezingatia hilo? kama jibu ni hapana hao waliosimamia utekelezaji ndivyo sivyo bado ni watumisha wa umma? Kama jibu ni ndiyo kwa nini tusiazime sheria za China ili zitumike kurekebisha hili tatizo "once for all"?
Inafaa aliyeandika "feasibility study" ya huo mradi anyongwe kabla ya hatua yoyote kuchukuliwa