Jiji la Mwanza wagomea sensa, Makarani hawana sare wala vitambulisho!

Mleta uzi ni muongo! Hivi watanzania tumelogwa kupenda uzushi? Leo nimeshinda eneo la Igombe jijini Mwanza, asubuhi mvua imenyesha kidogo lakini pamoja na mvua kunyesha makarani wa sensa wameamka mapema kweli! Nilipanda basi la kwenda Igombe saa moja kamili na ndani niliwaona makarani kama sita hivi(nimewatambua kwasababu wengi ni watumishi wenzangu wa jiji). Ili kuepuka kuchafua sare zao wengi walikuwa wamezitunza kwenye mikoba yao. Saa saba mchana nilikutana na mwalimu mmoja aliyekuwa na sare kamili na kibebeo cha madodoso.

Kwa wasiofahamu Igombe ni eneo la pembezoni sana mwa jiji(kupita uwanja wa ndege kama km 8 hivi).
My take: kama makarani wa Igombe ,Sangabuye, nk wamepata sare iweje wa katikati ya mji?

we kweli ni ndebile,mi nimezunguka mza town sijaona karani hata mmoja mwenye sare.acha uvivu na kutetea magamba
 
Mleta uzi ni muongo! Hivi watanzania tumelogwa kupenda uzushi? Leo nimeshinda eneo la Igombe jijini Mwanza, asubuhi mvua imenyesha kidogo lakini pamoja na mvua kunyesha makarani wa sensa wameamka mapema kweli! Nilipanda basi la kwenda Igombe saa moja kamili na ndani niliwaona makarani kama sita hivi(nimewatambua kwasababu wengi ni watumishi wenzangu wa jiji). Ili kuepuka kuchafua sare zao wengi walikuwa wamezitunza kwenye mikoba yao. Saa saba mchana nilikutana na mwalimu mmoja aliyekuwa na sare kamili na kibebeo cha madodoso.

Kwa wasiofahamu Igombe ni eneo la pembezoni sana mwa jiji(kupita uwanja wa ndege kama km 8 hivi).
My take: kama makarani wa Igombe ,Sangabuye, nk wamepata sare iweje wa katikati ya mji?

Mkuu sare si hoja, hata hapa Dar makarani wamekuja bila hizo sare lakini wananchi walio wengi wamekubali kuhesabiwa kwa kuwa walikuwa na vitambulisho!!!. Bahati mbaya kaya yangu leo haikuhesabiwa kwa kuwa karani aliishiwa na vitendea kazi na hivyo kuhairisha zoezi. Sasa sijui kesho akija atamkuta nani nyumbani maanake watoto wanakwenda shule na mimi na mume wangu tunaamkia kazini. Sidhani kama msaidizi wetu pale nyumbani ana capacity ya kutoa taarifa sahihi kwa karani!!!Na kama suala la kuhishiwa vitendea kazi limetokea Dar vipi huko mikoani?

Tiba
 
we kweli ni ndebile,mi nimezunguka mza town sijaona karani hata mmoja mwenye sare.acha uvivu na kutetea magamba

Mimi ni Mpenzi wa Chadema hebu fuatilia reply zangu zote! Hata hivyo sensa na ccm vinahusianaje? Mwalimu wako wa Jiografia hakukufundisha STATISTICS?

Hebu soma habari hii:
Kwa mujibu wa historia kwa miaka mingi vyombo vyote vya usafiri wa majini vilisafiri kwa kutumia upepo, hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kuwaza njia nyingine ya kusukuma vyombo hivyo hadi jamaa mmoja alipobuni injini ya mvuke. Siku ya uzinduzi watu waliohudhuria walipaza sauti wakisema HAIWEZEKANI meli ikaenda bila upepo! Hata ilipoanza kuondoka watu hao hao wakazomea wakisema basi kama imeweza kuondoka HAITAWEZA KUSIMAMA!

Angalia hizo herufi kubwa! Wengi huwa tunawaza kwa masafa hayo, siku memory yako ikifuta neno HAIWEZEKANI basi mafanikio yatakuwa mlangoni mwako.

Kama upo Mwanza ni-PM tuongee.
 
Mleta uzi ni muongo! Hivi watanzania tumelogwa kupenda uzushi? Leo nimeshinda eneo la Igombe jijini Mwanza, asubuhi mvua imenyesha kidogo lakini pamoja na mvua kunyesha makarani wa sensa wameamka mapema kweli! Nilipanda basi la kwenda Igombe saa moja kamili na ndani niliwaona makarani kama sita hivi(nimewatambua kwasababu wengi ni watumishi wenzangu wa jiji). Ili kuepuka kuchafua sare zao wengi walikuwa wamezitunza kwenye mikoba yao. Saa saba mchana nilikutana na mwalimu mmoja aliyekuwa na sare kamili na kibebeo cha madodoso.

Kwa wasiofahamu Igombe ni eneo la pembezoni sana mwa jiji(kupita uwanja wa ndege kama km 8 hivi).
My take: kama makarani wa Igombe ,Sangabuye, nk wamepata sare iweje wa katikati ya mji?

hao watakuwa walishalipwa na kupewa sare, swali kwamba je wote walishaapa au hawajapewa posho na vifaa huku wameepa?
 
sensa ya mwaka huu ni vituko tupu kuna uwezekano idadi ya watu ikapungua kuliko ile ya mwaka 2002 lakini kwa kuwa jamaa ni mabingwa wa kuchakachua watachakachua hadi madodoso ili ionekane zoezi limeenda sawa.
 
Back
Top Bottom