The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #21
Nafikiri tukifika 2015 tutakuwa tumekomaa na kufanya maamuzi sahihi ila kwa sisi watanzania sijui always expect the unexpectedAcha tupate fundisho,2015 tutajua nini cha kufanya!Ila kwa wakazi wa mwanza poleni sana,ila mnae kamanda wenje japo magamba wanamziba mdomo bado yu nanyi!Wakibana sana ni kuingima mtaani.