WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Wakazi wa Dar wamezoea kinyaa![/QUOTE]
Sikubaliani na hitimisho hili.Kama mkazi wa Dar sijazoea na hakuna kubwa sana ninaloweza kufanya zaidi ya kuhakikisha mazingira yangu nayaweka safi na kwamba situpi uchafu au kufanya chochote kile cha kuchafua mazingira kwa kadri ya uwezo wangu.