Mara nyingi watu - wenyeji na wageni - wamekuwa wakilalamika kuhusu uchafu na kunuka kwa jiji letu la Dar es Salaam. Ukisafiri mitaa ya Dar es Salaam usiku harufu mbaya ya kinyesi inakera. Sijui ndio muda watu wanatiririsha kinyesi kwenye mifereji/mitaro ya maji! Kwa kweli hali hii inakera sana na sijui itaisha lini.
Nini kifanyike na hasa wahusika wawajibikeje pengine hawajui cha kufanya?
Nini kifanyike na hasa wahusika wawajibikeje pengine hawajui cha kufanya?