Jiji la Dar es salaam litakavyokuwa baada ya miaka mitatu ijayo.

Mambo ya chenji ya rada haya.. duuuuuuuu. ebanaeeeee, itabidi niongeze gari la kutembelea, hili dogo nimwachie mke wangu.
 
tupicha twenyewe tu tatu ndo bongo hiyo au kijisehemu cha bongo ustaarabu huo hatuna tunapenda matangazo kuliko kazi ahadi nyingi us**ge tu
 
Hizo zimewekwa kwa ajili ya kuwapumbaza watz kuichagua CCM.na wataipigia debe wale ambao hawajawahi kuziona na kupita watachanganyikiwa na kuiona CCM imeamka kumbe ni kutengenezwa kisaikolojia.

Dar es salaam kwa uelewa wangu haipaswi kuwa na foleni,foleni iliyopo inatokana na kukosekana kwa barabara zinazounganisha wilaya moja na nyingine.Dar es salaam nzima ina barabara kuu Tatu.Morogoro road,amayo ndio inaingia na kutoka Dar nzima,Nyerere road na bagamoyo.mf.Mtu anatoka Tabata anaenda kimara.Inabidi atoke tabata ,aingie mandela ,apite ubungo then aende Kimara.Wa gongo la mboto nae lazima arudi nyerwere road,mandela ubungo then aende kimara,wa Boko na bunju halikadhalika , aje mwenge Ubungo then Kimara,wakati wa tabata ingejengwa lami angetokea Mbezi mwisho,halikadhalika wa gongo la mboto angeingilia kinyerezi na kutokea huko huko,wale wa bunju,boko na Tegeta ,wangeingilia wazo na kutokea mbezi mwisho,hiyo ingepunguza foleni Big time.
Bado wale wasafiri wa mikoani,kwa mfano arusha,hawa wangetengenezewa njia ya Bagamoyo wakawa wanatokea na kuingilia hukohuko.sasa ni barabara moja tu inayoingia na kutoka,ambayo ni Morogoro,Unategemea foleni itakuwepo.Ningekuwa mimi kuliko kujenga ya mabarabara yenu ,ningejenga hizo zinazo unganisha wilaya moja na nyingine.

halafu kuna zile barabara za mitaani.Mtu unatoka nyumbani,kitu cha kwanza unaanza kutafuta zile barabara zetu kuuu,AH mwiny,Nyerere na Morogoro.Mfano mzuri ni sizna.unapotoka kwa sasa kwenda mjini,unaweza tokezea kijitonyama,ukaingia mwanayamala,the ,dawasa,unakuja kwama UN.

Tunapoteza muda na resources kwa mambo ya kipuuzi na kuendekeza siasa.Hapo kinachotafutwa ni Kura za 2015,watu wanatafuta cha kusemea.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom