Salam wana Jf,nimekuwa mtumiaji wa dawa ya kuuwa mbu ijulikayo kama ngao kwa muda mrefu.imetokea kwamba nilinunua dawa ambayo nilipoitumia kama kawaida haikuleta matokeo niliyoyazoea.mbu walikuwa wanacheza kwenye chandarua kitu ambacho siyo cha kawaida.Nafiki si vizuri kwa dawa hizi kuuzwa kiholela,maduka pekee ya kuuza za binadamu ndio wawe wauzaji wa ngao.Naomba kutoa hoja.