Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Jamani tuwe makini sana na hawa wanaojiita madalali wa Ma "House Girls" (Common Word but not legal) atakuambia nipe nauli nikuletee msichana say from Singida kumbe yupo hapa hapa, haya atamleta huyo msichana halafu wanafanya dili, msichana anaanzisha zengwe ili umfukuze, ili dalali akavute nauli nyingine kwingineko au hata kuchonga dili la kukuibia
tuwe makini sana, ni bora uagize mwenyewe kwa watu unaowafahamu huko kijijini
tuwe makini sana, ni bora uagize mwenyewe kwa watu unaowafahamu huko kijijini