Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Du wakubwa kuna hizi barrier zinakera sana unapo drive toka Arusha kwenda Dar or other way round.
1. Daraja la Nduruma yani hawa jamaa wanakera sana ila uzuri wao kama kuna malori yakutosha hawasumbui
2. KIA - Hawa jamaa nao wanakera sana tena kuna traffic mmoja white huyo anasimamisha magari mpaka mengine anasahau
3.Mombo - Hawa wafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. ni wale wanaokaa pale kwenye bump
4. Korogwe - Wale wanakaa pembeni ya travelers Inn kama unakwenda stand kuu
5. Msata - Hawa nao ni nuksi
6
7
8
9
1. Daraja la Nduruma yani hawa jamaa wanakera sana ila uzuri wao kama kuna malori yakutosha hawasumbui
2. KIA - Hawa jamaa nao wanakera sana tena kuna traffic mmoja white huyo anasimamisha magari mpaka mengine anasahau
3.Mombo - Hawa wafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. ni wale wanaokaa pale kwenye bump
4. Korogwe - Wale wanakaa pembeni ya travelers Inn kama unakwenda stand kuu
5. Msata - Hawa nao ni nuksi
6
7
8
9