Jifunze Kwa Annie:Binti Milionea Aliyeacha Kuajiriwa na Kuanza Kilimo

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
wpid-annienyaga1.jpg


Annie Nyaga amefanya kitu ambacho kimebadiisha fikra za watu wengi hasa vijana wa kiafrika,na hii ilikuja baada ya jina lake kuchomoza katika orodha ya vijana mamilionea nchini Kenya wakati huo akiwa hajulikani na mtu yeyote kabisa.Akiwa na digrii yake ya kwanza ya Biomedical Science and Technology kutoka chuo kikuu cha Egerton aljikuta amekataa scholarship aliyopewa ya kwenda kusoma Marekani ili aiishi ndoto yake ya kuwa mkulima.Annie wakati ameibuka kuwa milionea alikuwa ni binti kijana wa miaka 29 lakini maisha yake yamebadilika sana kwa kuamua kuishi kitu ambacho moyo wake ulikuwa unakitamani kila siku.

Annie kwa sasa haishi mjini,anaishi kijijini kwake kwa asili Mbeere,Embu Kaunti ambako analima matikiti maji,nyanya pamoja na mazao mengine.Kwa sasa shamba lake limekuwa la kisasa likiwa na mashine mbalimbali na wafanyakazi kadhaa walio chini yake,yeye akiwa ni mkurugenzi wa kampuni yake aliyoianzisha ya Farm2Home.Kabla ya kuamua kuwa mkulima Annie alikuwa ni afisa ugavi na baadaye alikuwa anatembeza bidhaa kuuza kwenye maduka mbalimbali jijini Nairobi kama ambavyo vijana wengi wanafanya katika miji mikubwa.

Habari ya Anne inafanana na maisha ya watu wengi sana na kuna mambo kadhaa ya kujifunza kutoka katika maisha yake.
Moja ni kuwa,pamoja na usomi wake Annie aliamua kuiishi ndoto yake;yaani lile jambo ambalo alikuwa analiota kulifanya tangu akiwa na umri mdogo.Hakuruhusu masomo aliyosoma chuo kikuu yawe ni kikwazo kwa yeye kuifuata ndoto yake.Elimu kazi yake ni kutupa maarifa ya ziada ili tufanye kwa ubora mambo tuliyoamua kuyaishi.Kuna watu wengi leo ndani ya moyo wao kuna kitu wanatamani kufanya lakini wameendelea kung’ang’ania kukabwa na taaluma zao eti kwa sababu tu walisomea.Ni lazima ujue kuwa watu wanaofanikiwa haraka ni wale ambao wanafanya kitu ambacho kinagusa moyo wao,wanaishi katika “Passion yao”.Usione haya kufanya kazi inayoonekana sio ya kisomi lakini ina utajiri ndani yake.

Annie anatufundisha kuwa tusifuate mkumbo wa maisha.Ni kawaida kwa vijana wengi kung’ang’ania mijini mara baada ya kumaliza masomo yao vya vyuo.Unakuta miezi kwa miezi,wengine hadi miaka,wengine wanathubutu kukataa nafasi za kazi eti kwa sababu ziko mikoa mingine toafuti na Dar es Salaam ama sio kwenye miji mikubwa.Kuna fursa nyingi kila mahali,usiwe mtumwa wa fikra kuwa ili ufanikiwe lazima urundikane kwenye miji na wenzako.Angalia ndoto yako,usijali wengine watasema nini,chukua hatua mara moja na anza kuiishi.Annie aliacha kazi toka kwenye kampuni ya mauzo na kwenda kuanza kuishi ndoto yake kijijini.Na leo amefanikiwa kuliko wengi aliowaacha mijini.Suala sio unaishi wapi,suala la muhimu ni kama uanfanya jambo ambalo ndio ndoto ya maisha yako.

Inashangaza kuona kuna watu wanang’ang’ania kukaa mijini eti kwa ufahari tu kwamba wanaishi kwenye majiji lakini ukichunguza kazi na kipato wanachopata ukweli ni kuwa wanasurvive(wanasukuma siku) wakati kama wangeamua kuchukua fursa zilizoko nje ya miji wangefanikiwa.Usiwe mmoja wao.Kwa sasa Annie ni milionea anayeishi kijijini.Hivi jambo zuri ni lipi?Kuishi kitajiri kijijini na ukawa na uwezo wa kuja mjini wakati wowote unaotaka tena kwa ndege ama kuishi mjini huku ukiugulia maumivu ya maisha na hata mzazi akiomba hela ya vocha hauna?Uchaguzi ni wako.

Jambo lingine analotufundisha Annie ni ukweli kuwa tunahitaji kuwa wavumilivu ili kutimiza ndoto zetu.Katika mahojiano Annie alieleza kuwa amekutana na changamoto mbalimbali ikiwezo ya kubadilika kwa bei ya mazao yake na pia ukosefu wa mvua za wakati.Kiufupi ni kuwa hakuna ndoto ambayo haitakabiliwa na changamoto utakapoanza kuitekeleza.Ni lazima ufanye uamuzi tangia mwanzo unapoanza kuchukua hatua kuwa hautakata tamaa.

Ni lazima ujue kuwa kuna watu watakucheka,wengine watakudhihaki,wengine watakushangaa lakini kama ni ndoto umeiamini ni lazima uamue kukabiliana na vitu vyote hivyo katika maisha yako.Jiulize?je unaishi ndoto yako leo?ama unaishi maisha ya kuwafurahisha wengine huku ndani yako unaumia?FANYA MAAMUZI.

Mafanikio ya kweli yanaanza pale unapokuwa na ujasiri wa kuchukua hatua za kuanza kuiishi ndoto yako.

Endelea kutemebelea www.JoelNanauka.Com ili kujiifunza Zaidi na unaweza kulike ukurasa wangu wa facebook ili kupta mafunzo na pia unaweza kujiunga kwenye watasapp group ili kupata amafunzo bure.Tuma Majina yako kamili na neno “ndoto yangu” kwenda 0655 720 197.

Kumbuka kuwa ndoto yako inawezekana,
 
Ni kweli huyo binti ni mfano wa kuigwa kwa watu wenye ndoto zinazofanana na zakwake. Nastaajabishwa kidogo na jambo jema kama hilo ulilopost lenye uzuri ulio dhahiri kukufanya utumie nguvu nyingi za ushawishi.Kimsingi uwekezaji kwanye kilimo una matatizo na changamoto zake ambazo ulipaswa uziweke bayana ili wale unaowashawishi wazijue na wajipime kama kweli wanaweza kukabiliana nazo. Si sahii sana kutumia mfano mmoja wa mafanikio kama kielelezo cha kuvutia uwekezaji kwenye eneo ambalo kimsingi ata wawekezaji wake kattika nchi zilizoendelea bado wanapewa ruzuku na serikali zao.
 
Ni kweli huyo binti ni mfano wa kuigwa kwa watu wenye ndoto zinazofanana na zakwake. Nastaajabishwa kidogo na jambo jema kama hilo ulilopost lenye uzuri ulio dhahiri kukufanya utumie nguvu nyingi za ushawishi.Kimsingi uwekezaji kwanye kilimo una matatizo na changamoto zake ambazo ulipaswa uziweke bayana ili wale unaowashawishi wazijue na wajipime kama kweli wanaweza kukabiliana nazo. Si sahii sana kutumia mfano mmoja wa mafanikio kama kielelezo cha kuvutia uwekezaji kwenye eneo ambalo kimsingi ata wawekezaji wake kattika nchi zilizoendelea bado wanapewa ruzuku na serikali zao.
matatizo na changamoto kwenye kilimo yameelezewa sana huku, mimi nimetoa mfano wa mtu aliyefanikiwa kuaminisha watu inawezekana
then akatafute hayo mahitaji na changamoto ya kilimo baada ya kuamini
 
Ni kweli huyo binti ni mfano wa kuigwa kwa watu wenye ndoto zinazofanana na zakwake. Nastaajabishwa kidogo na jambo jema kama hilo ulilopost lenye uzuri ulio dhahiri kukufanya utumie nguvu nyingi za ushawishi.Kimsingi uwekezaji kwanye kilimo una matatizo na changamoto zake ambazo ulipaswa uziweke bayana ili wale unaowashawishi wazijue na wajipime kama kweli wanaweza kukabiliana nazo. Si sahii sana kutumia mfano mmoja wa mafanikio kama kielelezo cha kuvutia uwekezaji kwenye eneo ambalo kimsingi ata wawekezaji wake kattika nchi zilizoendelea bado wanapewa ruzuku na serikali zao.

Hakuna haja ya kumtafunia mtu kila kitu. Naamini ujumbe unatosha kumu inspire mtu na achukue hatua za kutafuta elimu zaidi.

Ujumbe mzuri, I'm inspired!
 
wpid-annienyaga1.jpg


Annie Nyaga amefanya kitu ambacho kimebadiisha fikra za watu wengi hasa vijana wa kiafrika,na hii ilikuja baada ya jina lake kuchomoza katika orodha ya vijana mamilionea nchini Kenya wakati huo akiwa hajulikani na mtu yeyote kabisa.Akiwa na digrii yake ya kwanza ya Biomedical Science and Technology kutoka chuo kikuu cha Egerton aljikuta amekataa scholarship aliyopewa ya kwenda kusoma Marekani ili aiishi ndoto yake ya kuwa mkulima.Annie wakati ameibuka kuwa milionea alikuwa ni binti kijana wa miaka 29 lakini maisha yake yamebadilika sana kwa kuamua kuishi kitu ambacho moyo wake ulikuwa unakitamani kila siku.

Annie kwa sasa haishi mjini,anaishi kijijini kwake kwa asili Mbeere,Embu Kaunti ambako analima matikiti maji,nyanya pamoja na mazao mengine.Kwa sasa shamba lake limekuwa la kisasa likiwa na mashine mbalimbali na wafanyakazi kadhaa walio chini yake,yeye akiwa ni mkurugenzi wa kampuni yake aliyoianzisha ya Farm2Home.Kabla ya kuamua kuwa mkulima Annie alikuwa ni afisa ugavi na baadaye alikuwa anatembeza bidhaa kuuza kwenye maduka mbalimbali jijini Nairobi kama ambavyo vijana wengi wanafanya katika miji mikubwa.

Habari ya Anne inafanana na maisha ya watu wengi sana na kuna mambo kadhaa ya kujifunza kutoka katika maisha yake.
Moja ni kuwa,pamoja na usomi wake Annie aliamua kuiishi ndoto yake;yaani lile jambo ambalo alikuwa analiota kulifanya tangu akiwa na umri mdogo.Hakuruhusu masomo aliyosoma chuo kikuu yawe ni kikwazo kwa yeye kuifuata ndoto yake.Elimu kazi yake ni kutupa maarifa ya ziada ili tufanye kwa ubora mambo tuliyoamua kuyaishi.Kuna watu wengi leo ndani ya moyo wao kuna kitu wanatamani kufanya lakini wameendelea kung’ang’ania kukabwa na taaluma zao eti kwa sababu tu walisomea.Ni lazima ujue kuwa watu wanaofanikiwa haraka ni wale ambao wanafanya kitu ambacho kinagusa moyo wao,wanaishi katika “Passion yao”.Usione haya kufanya kazi inayoonekana sio ya kisomi lakini ina utajiri ndani yake.

Annie anatufundisha kuwa tusifuate mkumbo wa maisha.Ni kawaida kwa vijana wengi kung’ang’ania mijini mara baada ya kumaliza masomo yao vya vyuo.Unakuta miezi kwa miezi,wengine hadi miaka,wengine wanathubutu kukataa nafasi za kazi eti kwa sababu ziko mikoa mingine toafuti na Dar es Salaam ama sio kwenye miji mikubwa.Kuna fursa nyingi kila mahali,usiwe mtumwa wa fikra kuwa ili ufanikiwe lazima urundikane kwenye miji na wenzako.Angalia ndoto yako,usijali wengine watasema nini,chukua hatua mara moja na anza kuiishi.Annie aliacha kazi toka kwenye kampuni ya mauzo na kwenda kuanza kuishi ndoto yake kijijini.Na leo amefanikiwa kuliko wengi aliowaacha mijini.Suala sio unaishi wapi,suala la muhimu ni kama uanfanya jambo ambalo ndio ndoto ya maisha yako.

Inashangaza kuona kuna watu wanang’ang’ania kukaa mijini eti kwa ufahari tu kwamba wanaishi kwenye majiji lakini ukichunguza kazi na kipato wanachopata ukweli ni kuwa wanasurvive(wanasukuma siku) wakati kama wangeamua kuchukua fursa zilizoko nje ya miji wangefanikiwa.Usiwe mmoja wao.Kwa sasa Annie ni milionea anayeishi kijijini.Hivi jambo zuri ni lipi?Kuishi kitajiri kijijini na ukawa na uwezo wa kuja mjini wakati wowote unaotaka tena kwa ndege ama kuishi mjini huku ukiugulia maumivu ya maisha na hata mzazi akiomba hela ya vocha hauna?Uchaguzi ni wako.

Jambo lingine analotufundisha Annie ni ukweli kuwa tunahitaji kuwa wavumilivu ili kutimiza ndoto zetu.Katika mahojiano Annie alieleza kuwa amekutana na changamoto mbalimbali ikiwezo ya kubadilika kwa bei ya mazao yake na pia ukosefu wa mvua za wakati.Kiufupi ni kuwa hakuna ndoto ambayo haitakabiliwa na changamoto utakapoanza kuitekeleza.Ni lazima ufanye uamuzi tangia mwanzo unapoanza kuchukua hatua kuwa hautakata tamaa.

Ni lazima ujue kuwa kuna watu watakucheka,wengine watakudhihaki,wengine watakushangaa lakini kama ni ndoto umeiamini ni lazima uamue kukabiliana na vitu vyote hivyo katika maisha yako.Jiulize?je unaishi ndoto yako leo?ama unaishi maisha ya kuwafurahisha wengine huku ndani yako unaumia?FANYA MAAMUZI.

Mafanikio ya kweli yanaanza pale unapokuwa na ujasiri wa kuchukua hatua za kuanza kuiishi ndoto yako.

Endelea kutemebelea www.JoelNanauka.Com ili kujiifunza Zaidi na unaweza kulike ukurasa wangu wa facebook ili kupta mafunzo na pia unaweza kujiunga kwenye watasapp group ili kupata amafunzo bure.Tuma Majina yako kamili na neno “ndoto yangu” kwenda 0655 720 197.

Kumbuka kuwa ndoto yako inawezekana,

Umeandika Vizuri Very Inspired.

Ila naona umekandia kweli Watu Tuliopo Mjini Umenigusa..sitaki Kuondoka Mjini Kiukweli.

Labda Na mimi Nikushauli Maisha kufanikiwa Sio Lazima Wote Tufaye Kama Annie Alichokifanya..
 
Umeandika Vizuri Very Inspired.

Ila naona umekandia kweli Watu Tuliopo Mjini Umenigusa..sitaki Kuondoka Mjini Kiukweli.

Labda Na mimi Nikushauli Maisha kufanikiwa Sio Lazima Wote Tufaye Kama Annie Alichokifanya..
sijasema hivyo mimi
 
Nimevutiwa na hii kitu asee nafasi kama hizi zipo nying TZ maeneo mengi sn yapo wazi na rahisi kupata .

Nilikuwa na mpango wa kutafuta kiwanja ninunue kibada bajeti yang ilikuwa milion 20 nimekosa bei zipo juu juu juu sn . Lkn hii pesa naweza fanya mradi wa kilom asee na nikapata shamba zuri tu na bado nitakuwa nipo Dar es salaam .
 
wpid-annienyaga1.jpg


Annie Nyaga amefanya kitu ambacho kimebadiisha fikra za watu wengi hasa vijana wa kiafrika,na hii ilikuja baada ya jina lake kuchomoza katika orodha ya vijana mamilionea nchini Kenya wakati huo akiwa hajulikani na mtu yeyote kabisa.Akiwa na digrii yake ya kwanza ya Biomedical Science and Technology kutoka chuo kikuu cha Egerton aljikuta amekataa scholarship aliyopewa ya kwenda kusoma Marekani ili aiishi ndoto yake ya kuwa mkulima.Annie wakati ameibuka kuwa milionea alikuwa ni binti kijana wa miaka 29 lakini maisha yake yamebadilika sana kwa kuamua kuishi kitu ambacho moyo wake ulikuwa unakitamani kila siku.

Annie kwa sasa haishi mjini,anaishi kijijini kwake kwa asili Mbeere,Embu Kaunti ambako analima matikiti maji,nyanya pamoja na mazao mengine.Kwa sasa shamba lake limekuwa la kisasa likiwa na mashine mbalimbali na wafanyakazi kadhaa walio chini yake,yeye akiwa ni mkurugenzi wa kampuni yake aliyoianzisha ya Farm2Home.Kabla ya kuamua kuwa mkulima Annie alikuwa ni afisa ugavi na baadaye alikuwa anatembeza bidhaa kuuza kwenye maduka mbalimbali jijini Nairobi kama ambavyo vijana wengi wanafanya katika miji mikubwa.

Habari ya Anne inafanana na maisha ya watu wengi sana na kuna mambo kadhaa ya kujifunza kutoka katika maisha yake.
Moja ni kuwa,pamoja na usomi wake Annie aliamua kuiishi ndoto yake;yaani lile jambo ambalo alikuwa analiota kulifanya tangu akiwa na umri mdogo.Hakuruhusu masomo aliyosoma chuo kikuu yawe ni kikwazo kwa yeye kuifuata ndoto yake.Elimu kazi yake ni kutupa maarifa ya ziada ili tufanye kwa ubora mambo tuliyoamua kuyaishi.Kuna watu wengi leo ndani ya moyo wao kuna kitu wanatamani kufanya lakini wameendelea kung’ang’ania kukabwa na taaluma zao eti kwa sababu tu walisomea.Ni lazima ujue kuwa watu wanaofanikiwa haraka ni wale ambao wanafanya kitu ambacho kinagusa moyo wao,wanaishi katika “Passion yao”.Usione haya kufanya kazi inayoonekana sio ya kisomi lakini ina utajiri ndani yake.

Annie anatufundisha kuwa tusifuate mkumbo wa maisha.Ni kawaida kwa vijana wengi kung’ang’ania mijini mara baada ya kumaliza masomo yao vya vyuo.Unakuta miezi kwa miezi,wengine hadi miaka,wengine wanathubutu kukataa nafasi za kazi eti kwa sababu ziko mikoa mingine toafuti na Dar es Salaam ama sio kwenye miji mikubwa.Kuna fursa nyingi kila mahali,usiwe mtumwa wa fikra kuwa ili ufanikiwe lazima urundikane kwenye miji na wenzako.Angalia ndoto yako,usijali wengine watasema nini,chukua hatua mara moja na anza kuiishi.Annie aliacha kazi toka kwenye kampuni ya mauzo na kwenda kuanza kuishi ndoto yake kijijini.Na leo amefanikiwa kuliko wengi aliowaacha mijini.Suala sio unaishi wapi,suala la muhimu ni kama uanfanya jambo ambalo ndio ndoto ya maisha yako.

Inashangaza kuona kuna watu wanang’ang’ania kukaa mijini eti kwa ufahari tu kwamba wanaishi kwenye majiji lakini ukichunguza kazi na kipato wanachopata ukweli ni kuwa wanasurvive(wanasukuma siku) wakati kama wangeamua kuchukua fursa zilizoko nje ya miji wangefanikiwa.Usiwe mmoja wao.Kwa sasa Annie ni milionea anayeishi kijijini.Hivi jambo zuri ni lipi?Kuishi kitajiri kijijini na ukawa na uwezo wa kuja mjini wakati wowote unaotaka tena kwa ndege ama kuishi mjini huku ukiugulia maumivu ya maisha na hata mzazi akiomba hela ya vocha hauna?Uchaguzi ni wako.

Jambo lingine analotufundisha Annie ni ukweli kuwa tunahitaji kuwa wavumilivu ili kutimiza ndoto zetu.Katika mahojiano Annie alieleza kuwa amekutana na changamoto mbalimbali ikiwezo ya kubadilika kwa bei ya mazao yake na pia ukosefu wa mvua za wakati.Kiufupi ni kuwa hakuna ndoto ambayo haitakabiliwa na changamoto utakapoanza kuitekeleza.Ni lazima ufanye uamuzi tangia mwanzo unapoanza kuchukua hatua kuwa hautakata tamaa.

Ni lazima ujue kuwa kuna watu watakucheka,wengine watakudhihaki,wengine watakushangaa lakini kama ni ndoto umeiamini ni lazima uamue kukabiliana na vitu vyote hivyo katika maisha yako.Jiulize?je unaishi ndoto yako leo?ama unaishi maisha ya kuwafurahisha wengine huku ndani yako unaumia?FANYA MAAMUZI.

Mafanikio ya kweli yanaanza pale unapokuwa na ujasiri wa kuchukua hatua za kuanza kuiishi ndoto yako.

Endelea kutemebelea www.JoelNanauka.Com ili kujiifunza Zaidi na unaweza kulike ukurasa wangu wa facebook ili kupta mafunzo na pia unaweza kujiunga kwenye watasapp group ili kupata amafunzo bure.Tuma Majina yako kamili na neno “ndoto yangu” kwenda 0655 720 197.

Kumbuka kuwa ndoto yako inawezekana,
mfano mzuri sana.vijana inabidi mtambue kuwa elimu sio kwenda kujaza makaratasi meupe na kuuanza kujisifu kwa kupata degree au master huu ni ukoloni,elimu nikupanua fikra zako ili uweze ku utilize resource zinazo kuzunguka kuleta maendeleo,mfumo wa elimu ya kitanzania umeoza na unatoa funza,vyuo vingi tanzania hasa vya serikali ni maadui kwa maendeleo ya vijana wa tanzania,vyuo hivi vinazalisha maafisa wasimamizi na waandamizi,na viongozi wamefumba macho,kijana jibidishe kutafuta maendeleo yako binafsi usikimbilie chuo kwenda kukua utakuja juta baadae,kijana unaweza kufanya informal leaning na utafiti ya vitu unavyofikiri vitakusaidia binafsi na jamii yako.achana na vyuo vya kitanzania ni haramu kwa ubunifu
 
Cha Msingi mm nilichoelewa hapo ni kuwa..suala duo kuiga yeye anafanya nini hadi kafanikiwa...Bali angalia wewe Ndoto yako ni tufanye nn ili ufanikiwe ...kila MTU ana kitu anacho kipenda ,siyo lazima nawe ukalime...changua kitu unacho kipenda then amini kuwa kupitia hicho utafanikiwa...na tambua kua kila jambo linachangamoto zake...na km unakipenda kitu changamoto utakazo kutana nazo hazitakuondoa kwenye kile kitu unachokifanya ...


Ni kweli huyo binti ni mfano wa kuigwa kwa watu wenye ndoto zinazofanana na zakwake. Nastaajabishwa kidogo na jambo jema kama hilo ulilopost lenye uzuri ulio dhahiri kukufanya utumie nguvu nyingi za ushawishi.Kimsingi uwekezaji kwanye kilimo una matatizo na changamoto zake ambazo ulipaswa uziweke bayana ili wale unaowashawishi wazijue na wajipime kama kweli wanaweza kukabiliana nazo. Si sahii sana kutumia mfano mmoja wa mafanikio kama kielelezo cha kuvutia uwekezaji kwenye eneo ambalo kimsingi ata wawekezaji wake kattika nchi zilizoendelea bado wanapewa ruzuku na serikali zao.
 
umeongea point sana mkuu vijana wa saiz wanangania mijin hasa dar title kubwa sana pale mliman city.escape one kumbe hawana chochote mfukon au utakuta kijana katoka huko kwao ruaha mbuyuni ameziacha hekal 20 alizoachiwa na baba yake lakn yupo mjin anaishi maisha ya kuingiza
 
mfano mzuri sana.vijana inabidi mtambue kuwa elimu sio kwenda kujaza makaratasi meupe na kuuanza kujisifu kwa kupata degree au master huu ni ukoloni,elimu nikupanua fikra zako ili uweze ku utilize resource zinazo kuzunguka kuleta maendeleo,mfumo wa elimu ya kitanzania umeoza na unatoa funza,vyuo vingi tanzania hasa vya serikali ni maadui kwa maendeleo ya vijana wa tanzania,vyuo hivi vinazalisha maafisa wasimamizi na waandamizi,na viongozi wamefumba macho,kijana jibidishe kutafuta maendeleo yako binafsi usikimbilie chuo kwenda kukua utakuja juta baadae,kijana unaweza kufanya informal leaning na utafiti ya vitu unavyofikiri vitakusaidia binafsi na jamii yako.achana na vyuo vya kitanzania ni haramu kwa ubunifu
 
mfano mzuri sana.vijana inabidi mtambue kuwa elimu sio kwenda kujaza makaratasi meupe na kuuanza kujisifu kwa kupata degree au master huu ni ukoloni,elimu nikupanua fikra zako ili uweze ku utilize resource zinazo kuzunguka kuleta maendeleo,mfumo wa elimu ya kitanzania umeoza na unatoa funza,vyuo vingi tanzania hasa vya serikali ni maadui kwa maendeleo ya vijana wa tanzania,vyuo hivi vinazalisha maafisa wasimamizi na waandamizi,na viongozi wamefumba macho,kijana jibidishe kutafuta maendeleo yako binafsi usikimbilie chuo kwenda kukua utakuja juta baadae,kijana unaweza kufanya informal leaning na utafiti ya vitu unavyofikiri vitakusaidia binafsi na jamii yako.achana na vyuo vya kitanzania ni haramu kwa ubunifu
 
smart...........hardworking...........successful...................and to ice the cake................msupuuuuuuuuuuuuu
 
matatizo na changamoto kwenye kilimo yameelezewa sana huku, mimi nimetoa mfano wa mtu aliyefanikiwa kuaminisha watu inawezekana
then akatafute hayo mahitaji na changamoto ya kilimo baada ya kuamini
Changamoto moja kubwa ni kukosa maji ya uhakika. Wengi hutegemea maji ya mvua, wachache sana ya kisima.
Kwa watumishi, changamoto kubwa ni usimamizi. watu wengi sio waminifu, ukiwapa kazi ya kukusimamia wao wanafikiri kukuibia tu.
Kama unachanzo cha uhakika wa maji na usimamizi madhubuti, kilimo ni one of the opportunity to run for.
 
wpid-annienyaga1.jpg


Annie Nyaga amefanya kitu ambacho kimebadiisha fikra za watu wengi hasa vijana wa kiafrika,na hii ilikuja baada ya jina lake kuchomoza katika orodha ya vijana mamilionea nchini Kenya wakati huo akiwa hajulikani na mtu yeyote kabisa.Akiwa na digrii yake ya kwanza ya Biomedical Science and Technology kutoka chuo kikuu cha Egerton aljikuta amekataa scholarship aliyopewa ya kwenda kusoma Marekani ili aiishi ndoto yake ya kuwa mkulima.Annie wakati ameibuka kuwa milionea alikuwa ni binti kijana wa miaka 29 lakini maisha yake yamebadilika sana kwa kuamua kuishi kitu ambacho moyo wake ulikuwa unakitamani kila siku.

Annie kwa sasa haishi mjini,anaishi kijijini kwake kwa asili Mbeere,Embu Kaunti ambako analima matikiti maji,nyanya pamoja na mazao mengine.Kwa sasa shamba lake limekuwa la kisasa likiwa na mashine mbalimbali na wafanyakazi kadhaa walio chini yake,yeye akiwa ni mkurugenzi wa kampuni yake aliyoianzisha ya Farm2Home.Kabla ya kuamua kuwa mkulima Annie alikuwa ni afisa ugavi na baadaye alikuwa anatembeza bidhaa kuuza kwenye maduka mbalimbali jijini Nairobi kama ambavyo vijana wengi wanafanya katika miji mikubwa.

Habari ya Anne inafanana na maisha ya watu wengi sana na kuna mambo kadhaa ya kujifunza kutoka katika maisha yake.
Moja ni kuwa,pamoja na usomi wake Annie aliamua kuiishi ndoto yake;yaani lile jambo ambalo alikuwa analiota kulifanya tangu akiwa na umri mdogo.Hakuruhusu masomo aliyosoma chuo kikuu yawe ni kikwazo kwa yeye kuifuata ndoto yake.Elimu kazi yake ni kutupa maarifa ya ziada ili tufanye kwa ubora mambo tuliyoamua kuyaishi.Kuna watu wengi leo ndani ya moyo wao kuna kitu wanatamani kufanya lakini wameendelea kung’ang’ania kukabwa na taaluma zao eti kwa sababu tu walisomea.Ni lazima ujue kuwa watu wanaofanikiwa haraka ni wale ambao wanafanya kitu ambacho kinagusa moyo wao,wanaishi katika “Passion yao”.Usione haya kufanya kazi inayoonekana sio ya kisomi lakini ina utajiri ndani yake.

Annie anatufundisha kuwa tusifuate mkumbo wa maisha.Ni kawaida kwa vijana wengi kung’ang’ania mijini mara baada ya kumaliza masomo yao vya vyuo.Unakuta miezi kwa miezi,wengine hadi miaka,wengine wanathubutu kukataa nafasi za kazi eti kwa sababu ziko mikoa mingine toafuti na Dar es Salaam ama sio kwenye miji mikubwa.Kuna fursa nyingi kila mahali,usiwe mtumwa wa fikra kuwa ili ufanikiwe lazima urundikane kwenye miji na wenzako.Angalia ndoto yako,usijali wengine watasema nini,chukua hatua mara moja na anza kuiishi.Annie aliacha kazi toka kwenye kampuni ya mauzo na kwenda kuanza kuishi ndoto yake kijijini.Na leo amefanikiwa kuliko wengi aliowaacha mijini.Suala sio unaishi wapi,suala la muhimu ni kama uanfanya jambo ambalo ndio ndoto ya maisha yako.

Inashangaza kuona kuna watu wanang’ang’ania kukaa mijini eti kwa ufahari tu kwamba wanaishi kwenye majiji lakini ukichunguza kazi na kipato wanachopata ukweli ni kuwa wanasurvive(wanasukuma siku) wakati kama wangeamua kuchukua fursa zilizoko nje ya miji wangefanikiwa.Usiwe mmoja wao.Kwa sasa Annie ni milionea anayeishi kijijini.Hivi jambo zuri ni lipi?Kuishi kitajiri kijijini na ukawa na uwezo wa kuja mjini wakati wowote unaotaka tena kwa ndege ama kuishi mjini huku ukiugulia maumivu ya maisha na hata mzazi akiomba hela ya vocha hauna?Uchaguzi ni wako.

Jambo lingine analotufundisha Annie ni ukweli kuwa tunahitaji kuwa wavumilivu ili kutimiza ndoto zetu.Katika mahojiano Annie alieleza kuwa amekutana na changamoto mbalimbali ikiwezo ya kubadilika kwa bei ya mazao yake na pia ukosefu wa mvua za wakati.Kiufupi ni kuwa hakuna ndoto ambayo haitakabiliwa na changamoto utakapoanza kuitekeleza.Ni lazima ufanye uamuzi tangia mwanzo unapoanza kuchukua hatua kuwa hautakata tamaa.

Ni lazima ujue kuwa kuna watu watakucheka,wengine watakudhihaki,wengine watakushangaa lakini kama ni ndoto umeiamini ni lazima uamue kukabiliana na vitu vyote hivyo katika maisha yako.Jiulize?je unaishi ndoto yako leo?ama unaishi maisha ya kuwafurahisha wengine huku ndani yako unaumia?FANYA MAAMUZI.

Mafanikio ya kweli yanaanza pale unapokuwa na ujasiri wa kuchukua hatua za kuanza kuiishi ndoto yako.

Endelea kutemebelea www.JoelNanauka.Com ili kujiifunza Zaidi na unaweza kulike ukurasa wangu wa facebook ili kupta mafunzo na pia unaweza kujiunga kwenye watasapp group ili kupata amafunzo bure.Tuma Majina yako kamili na neno “ndoto yangu” kwenda 0655 720 197.

Kumbuka kuwa ndoto yako inawezekana,
Nipe namba za huyo binti
 
To be honest napenda sana kilimo napendaaa sana ukijani napenda kuhudumia jamiii kubwa kupitia jembe na mkono wangu mwenyewe napenda kuishi maisha kutumia kilimo kama uti wa mgongo wa Taifa endelevu
Kikubwa kinachonikwamisha au kutukwamisha vijana wengi ni mitaji na elimu sahihi ya kilimo pamoja na masoko madhubuti napenda kilimo cha kisasa kwa kujifunza pamoja na kukitenda pia nashukuru kwa mtoa post umeniimarisha kifikra
 
Back
Top Bottom