Jifunze kufunga Tai na sheria zake baada ya kuvaa

18/ Hairuhusiwi kunuka mdomo + kwapa
19/ Ni marufuku kuvaa tai na mavazi oversize
20/Hairuhusiwi kuvalia makubanzi
21/Hairuhusiwi kutafuna mahindi km ng'ombe barabarani
f46a7442f317f78a9b4589cbeeb25e33.jpg
1459748207330.jpg
 
Bitoz wa dar unajuwa kufunga tai ama umezoea kuvaa jeans mlegezo na t-shirt
Tai waachie watu wa ofisini....sivai tai wala koti but nahomekea fresh tu na natoka bomba... Navaa kulingana na sehemu na ishu

Mimi ni mtu anayejitambua so sivalii suruali matakoni(kata K)
 
Tai waachie watu wa ofisini....sivai tai wala koti but nahomekea fresh tu na natoka bomba... Navaa kulingana na sehemu na ishu

Mimi ni mtu anayejitambua so sivalii suruali matakoni(kata K)
Hahahah bitoz umenifurahisha ni kweli unaweza usivae tai lakini ukapendeza,hiyo avatar yako inanichekesha huyo tembo kavaa nini...
 
Sheria ya Malkia wa UK:
Si ruhusa kuvaa tai siku za Jmosi kuanzia alfajiri mpaka Lunchtime.baada ya lunch unaruhusiwa kuvaa.Wachunguze waingereza na wafaransa utaona hiyo.
 
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua kufunga tai ili kuwasaidia wenzi wenu. Kwa mfano kwetu sisi Baba alitufundisha kufunga tai kuanzia Mama na watoto wote wakiume na wakike na tukawa fiti kabisa.

Jifunze kupitia video hii:






Lakini baada ya kuvaa zingatia sheria na kanuni zifuatazo
*Hairuhusiwi kuvaa kandambili
  1. Hairuhusiwi kuuliza muda kwa mwenzako

  2. Hairuhusiwi kusema nimeishiwa fedha

  3. Hairuhusiwi kukimbiza mwizi

  4. Hairuhusiwi kula gengeni au kwenye hitima

  5. Hairuhusiwi kupanda lori

  6. Hairuhusiwi kujisaidia uchochoroni

  7. Hairuhusiwi kupiga miayo kwa njaa

  8. Hairuhusiwi kupiga kelele ukishaibiwa

  9. Hairuhusiwi kuvaa nguo zisizonyooshwa

  10. Hairuhusiwi kuyumba kwa ulevi barabarani

  11. Hairuhusiwi kupanda baiskeli

  12. Hairuhusiwi kuacha nywele ovyo ovyo

  13. Hairuhusiwi kubeba mfuko wa rambo

  14. Hairuhusiwi soli ya viatu kwenda upande

  15. Hairuhusiwi kuvaa kaptura (pensi)

  16. Hairuhusiwi kutochomekea shati

  17. Hairuhusiwi kuomba kalamu
Nawatakia uvaaji mwema wa tai.

==============================
Mkuu Bitoz ameongezea hizi pia:


Maisha Yetu Yenyewe Haya Magumu Ni " Tai " Tosha Mkuu Tena ILIYOKAZWA Na IKAKAZIKA Shingoni Halafu Bado Unatutaka Tena Tujifunze Kufunga Mbona Kama Una Makusudi Na " MAKAPUKU " Siye?
 
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua kufunga tai ili kuwasaidia wenzi wenu. Kwa mfano kwetu sisi Baba alitufundisha kufunga tai kuanzia Mama na watoto wote wakiume na wakike na tukawa fiti kabisa.

Jifunze kupitia video hii:






Lakini baada ya kuvaa zingatia sheria na kanuni zifuatazo
*Hairuhusiwi kuvaa kandambili
  1. Hairuhusiwi kuuliza muda kwa mwenzako

  2. Hairuhusiwi kusema nimeishiwa fedha

  3. Hairuhusiwi kukimbiza mwizi

  4. Hairuhusiwi kula gengeni au kwenye hitima

  5. Hairuhusiwi kupanda lori

  6. Hairuhusiwi kujisaidia uchochoroni

  7. Hairuhusiwi kupiga miayo kwa njaa

  8. Hairuhusiwi kupiga kelele ukishaibiwa

  9. Hairuhusiwi kuvaa nguo zisizonyooshwa

  10. Hairuhusiwi kuyumba kwa ulevi barabarani

  11. Hairuhusiwi kupanda baiskeli

  12. Hairuhusiwi kuacha nywele ovyo ovyo

  13. Hairuhusiwi kubeba mfuko wa rambo

  14. Hairuhusiwi soli ya viatu kwenda upande

  15. Hairuhusiwi kuvaa kaptura (pensi)

  16. Hairuhusiwi kutochomekea shati

  17. Hairuhusiwi kuomba kalamu
Nawatakia uvaaji mwema wa tai.

==============================
Mkuu Bitoz ameongezea hizi pia:

Ni katika ibara gani kwenye katiba ya 1977?
 
Nilinunuaga nikiwa field (mafunzo kwa vitendo). Nilinunua pale Kariakoo sokoni baada ya jamaa kunielekeza namna ya kufunga. Baada ya kumaliza field sijawahi, na sitarajii tena kuvaa likamba shingoni. Hata iwe siku ya harusi yangu.
 
Ni Kwenda kinyume na Matakwa ya malkia wa Uingereza kwa kuvaa tai Jumamosi asubuhi.UKWELI......JK akivaa suti anapendeza saana na anajua jinsi ya kuzifaa na lini na wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom