denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
18/ Hairuhusiwi kunuka mdomo + kwapa
19/ Ni marufuku kuvaa tai na mavazi oversize
20/Hairuhusiwi kuvalia makubanzi
21/Hairuhusiwi kutafuna mahindi km ng'ombe barabarani
18/ Hairuhusiwi kunuka mdomo + kwapa
19/ Ni marufuku kuvaa tai na mavazi oversize
20/Hairuhusiwi kuvalia makubanzi
21/Hairuhusiwi kutafuna mahindi km ng'ombe barabarani
Director of Camera(DC)
Hata wanavyuo na PC zao migongonHii wengi imewashinda kule mitaa ya posta wanakiuka sana hii kanuni
Bitoz wa dar unajuwa kufunga tai ama umezoea kuvaa jeans mlegezo na t-shirtDirector of Camera(DC)
Tai waachie watu wa ofisini....sivai tai wala koti but nahomekea fresh tu na natoka bomba... Navaa kulingana na sehemu na ishuBitoz wa dar unajuwa kufunga tai ama umezoea kuvaa jeans mlegezo na t-shirt
Hahahah bitoz umenifurahisha ni kweli unaweza usivae tai lakini ukapendeza,hiyo avatar yako inanichekesha huyo tembo kavaa nini...Tai waachie watu wa ofisini....sivai tai wala koti but nahomekea fresh tu na natoka bomba... Navaa kulingana na sehemu na ishu
Mimi ni mtu anayejitambua so sivalii suruali matakoni(kata K)
haswaa unakuta mtu kaniga tai vizuri halafu kabeba begi mgongoni. kushusha heshima ya tai.Hii wengi imewashinda kule mitaa ya posta wanakiuka sana hii kanuni
Bahati mbaya saana sikuuliza sababu...hiyo tuliambiwa na aliyekuwa AG wa Kenya Sir Charles Njonjo kwenye seminar iliyofanyika Norfolk Hotel NBO miaka ya 1975.Kwasababu gani mkuu?
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua kufunga tai ili kuwasaidia wenzi wenu. Kwa mfano kwetu sisi Baba alitufundisha kufunga tai kuanzia Mama na watoto wote wakiume na wakike na tukawa fiti kabisa.
Jifunze kupitia video hii:
Lakini baada ya kuvaa zingatia sheria na kanuni zifuatazo
*Hairuhusiwi kuvaa kandambili
Nawatakia uvaaji mwema wa tai.
- Hairuhusiwi kuuliza muda kwa mwenzako
- Hairuhusiwi kusema nimeishiwa fedha
- Hairuhusiwi kukimbiza mwizi
- Hairuhusiwi kula gengeni au kwenye hitima
- Hairuhusiwi kupanda lori
- Hairuhusiwi kujisaidia uchochoroni
- Hairuhusiwi kupiga miayo kwa njaa
- Hairuhusiwi kupiga kelele ukishaibiwa
- Hairuhusiwi kuvaa nguo zisizonyooshwa
- Hairuhusiwi kuyumba kwa ulevi barabarani
- Hairuhusiwi kupanda baiskeli
- Hairuhusiwi kuacha nywele ovyo ovyo
- Hairuhusiwi kubeba mfuko wa rambo
- Hairuhusiwi soli ya viatu kwenda upande
- Hairuhusiwi kuvaa kaptura (pensi)
- Hairuhusiwi kutochomekea shati
- Hairuhusiwi kuomba kalamu
==============================
Mkuu Bitoz ameongezea hizi pia:
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua kufunga tai ili kuwasaidia wenzi wenu. Kwa mfano kwetu sisi Baba alitufundisha kufunga tai kuanzia Mama na watoto wote wakiume na wakike na tukawa fiti kabisa.
Jifunze kupitia video hii:
Lakini baada ya kuvaa zingatia sheria na kanuni zifuatazo
*Hairuhusiwi kuvaa kandambili
Nawatakia uvaaji mwema wa tai.
- Hairuhusiwi kuuliza muda kwa mwenzako
- Hairuhusiwi kusema nimeishiwa fedha
- Hairuhusiwi kukimbiza mwizi
- Hairuhusiwi kula gengeni au kwenye hitima
- Hairuhusiwi kupanda lori
- Hairuhusiwi kujisaidia uchochoroni
- Hairuhusiwi kupiga miayo kwa njaa
- Hairuhusiwi kupiga kelele ukishaibiwa
- Hairuhusiwi kuvaa nguo zisizonyooshwa
- Hairuhusiwi kuyumba kwa ulevi barabarani
- Hairuhusiwi kupanda baiskeli
- Hairuhusiwi kuacha nywele ovyo ovyo
- Hairuhusiwi kubeba mfuko wa rambo
- Hairuhusiwi soli ya viatu kwenda upande
- Hairuhusiwi kuvaa kaptura (pensi)
- Hairuhusiwi kutochomekea shati
- Hairuhusiwi kuomba kalamu
==============================
Mkuu Bitoz ameongezea hizi pia: