Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua kufunga tai ili kuwasaidia wenzi wenu. Kwa mfano kwetu sisi Baba alitufundisha kufunga tai kuanzia Mama na watoto wote wakiume na wakike na tukawa fiti kabisa.
Jifunze kupitia video hii:
Lakini baada ya kuvaa zingatia sheria na kanuni zifuatazo
*Hairuhusiwi kuvaa kandambili
==============================
Mkuu Bitoz ameongezea hizi pia:
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua kufunga tai ili kuwasaidia wenzi wenu. Kwa mfano kwetu sisi Baba alitufundisha kufunga tai kuanzia Mama na watoto wote wakiume na wakike na tukawa fiti kabisa.
Jifunze kupitia video hii:
Lakini baada ya kuvaa zingatia sheria na kanuni zifuatazo
*Hairuhusiwi kuvaa kandambili
- Hairuhusiwi kuuliza muda kwa mwenzako
- Hairuhusiwi kusema nimeishiwa fedha
- Hairuhusiwi kukimbiza mwizi
- Hairuhusiwi kula gengeni au kwenye hitima
- Hairuhusiwi kupanda lori
- Hairuhusiwi kujisaidia uchochoroni
- Hairuhusiwi kupiga miayo kwa njaa
- Hairuhusiwi kupiga kelele ukishaibiwa
- Hairuhusiwi kuvaa nguo zisizonyooshwa
- Hairuhusiwi kuyumba kwa ulevi barabarani
- Hairuhusiwi kupanda baiskeli
- Hairuhusiwi kuacha nywele ovyo ovyo
- Hairuhusiwi kubeba mfuko wa rambo
- Hairuhusiwi soli ya viatu kwenda upande
- Hairuhusiwi kuvaa kaptura (pensi)
- Hairuhusiwi kutochomekea shati
- Hairuhusiwi kuomba kalamu
==============================
Mkuu Bitoz ameongezea hizi pia:
18/ Hairuhusiwi kunuka mdomo + kwapa
19/ Ni marufuku kuvaa tai na mavazi oversize
20/Hairuhusiwi kuvalia makubanzi
21/Hairuhusiwi kutafuna mahindi km ng'ombe barabarani