Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,988
MARAFIKI
Je wewe ni rafiki mwema?
je wamtakia nduguyo maisha ya amani kwenye ndoa yake?
je utafaidika ni ni ukihusika katika kuvunja ndoa ya mwenzio??
Ndugu wapendwa nimeona ni vyema leo tuongelee matatizo ya marafiki katika ndoa....marafiki ni watu wazuri sana..lakini marafiki hawa hawa ni watu wabaya sana sana katika kujenga Familia...tunajua watu wengi wanapotoka katika ubachela wanakuwa na marafiki wengi..wapo waliokuwa wanakunywa nao mpaka saa saba ya usiku..wapo uliokuwa nao mnaongozana pale Africasana kuchagua "TUNDA"...kuna wale ambao kweli wana upendo wa dhati...naomba nikujulishe baada ya kuwa na mahusiano ya ndoa una/utaitajika kuchagua marafiki ili NDOA yako iendelee...dear
br n sis...nimeeona ndoa nyingi sana zikiterereka sababu ya marafiki..unakuta mtu alikuwa anakaa ROSEGARDEN mpaka saa saba usiku leo hii ameoa hajui pale ndani yuko mkewe na mtoto wanamsubiri...tusikubali kutokea yale yaliomtokea ndugu mtarajiwa masa@@@
ni vyema tukajali familia zetu kabla ya marafiki..ukioa ama kuolewa jua unahitaji kubaki na wale marafiki unaowaona wanafaa na hawataweza kuyumbisha familia/Ndoa yako..usiogope kuachana na marafiki kama inafika wakati angalia lipi bora kuwa na amani na familia yako ama kuwa na marafiki watakaoyumbisha familia yako
Kama umekuwa unayumbishwa anza sasa badilika...jali familia yako rudi nyumbani muda muafaka...
Nawatakia NDOA ZENYE BARAKA
Je wewe ni rafiki mwema?
je wamtakia nduguyo maisha ya amani kwenye ndoa yake?
je utafaidika ni ni ukihusika katika kuvunja ndoa ya mwenzio??
Ndugu wapendwa nimeona ni vyema leo tuongelee matatizo ya marafiki katika ndoa....marafiki ni watu wazuri sana..lakini marafiki hawa hawa ni watu wabaya sana sana katika kujenga Familia...tunajua watu wengi wanapotoka katika ubachela wanakuwa na marafiki wengi..wapo waliokuwa wanakunywa nao mpaka saa saba ya usiku..wapo uliokuwa nao mnaongozana pale Africasana kuchagua "TUNDA"...kuna wale ambao kweli wana upendo wa dhati...naomba nikujulishe baada ya kuwa na mahusiano ya ndoa una/utaitajika kuchagua marafiki ili NDOA yako iendelee...dear
br n sis...nimeeona ndoa nyingi sana zikiterereka sababu ya marafiki..unakuta mtu alikuwa anakaa ROSEGARDEN mpaka saa saba usiku leo hii ameoa hajui pale ndani yuko mkewe na mtoto wanamsubiri...tusikubali kutokea yale yaliomtokea ndugu mtarajiwa masa@@@
ni vyema tukajali familia zetu kabla ya marafiki..ukioa ama kuolewa jua unahitaji kubaki na wale marafiki unaowaona wanafaa na hawataweza kuyumbisha familia/Ndoa yako..usiogope kuachana na marafiki kama inafika wakati angalia lipi bora kuwa na amani na familia yako ama kuwa na marafiki watakaoyumbisha familia yako
Kama umekuwa unayumbishwa anza sasa badilika...jali familia yako rudi nyumbani muda muafaka...
Nawatakia NDOA ZENYE BARAKA