Kwa ufupi mimi na-deal software za simu sana sana kuflash simu kwa hiyo nina uzoefu mkubwa, nipo pale Kariakoo kwa hiyo ningependa kusikia swali lolote toka kwenu wadau.
==========
Hizi ni sababu kubwa zinazopelekea simu yako kuwa ya moto
1.Program kujiendesha zenyewe
2.Virus ambazo zinashugulisha program zisizo htajika kurun in background
3.Kufunga program ulikuwa unatumia kwa kutumia hom button
MASULIHISHO
Au tatizo likizidi kwa simu yako tafadhali kama una uwezo kuiflash sim yako au kuiupdates kama virus watakuwa wameathiri kwa kiasi kikubwa au tunaweza kuwasiliana kwa namba 0653868632 au fika Kariakoo soft barabara ya uhuru kwenye screen kubwa, pale ya matangazo ukifika pale tunaweza wasiliana ukaja ofisini
==========
Hizi ni sababu kubwa zinazopelekea simu yako kuwa ya moto
1.Program kujiendesha zenyewe
2.Virus ambazo zinashugulisha program zisizo htajika kurun in background
3.Kufunga program ulikuwa unatumia kwa kutumia hom button
MASULIHISHO
- Hakikisha unafunga program yako kwa kutumia back button kwan hyo program ambayo ulikuwa unatumia itafunga moja moja
- Ukiweka angalia usidownload programm zozote ambazo zinakuwa zina pop up kwan zinaleta virus kwa kiasi kikubwa
Au tatizo likizidi kwa simu yako tafadhali kama una uwezo kuiflash sim yako au kuiupdates kama virus watakuwa wameathiri kwa kiasi kikubwa au tunaweza kuwasiliana kwa namba 0653868632 au fika Kariakoo soft barabara ya uhuru kwenye screen kubwa, pale ya matangazo ukifika pale tunaweza wasiliana ukaja ofisini