Jidulamabambasi is no more!

Mungu aiweke pema peponi roho ya marehemu.

Nadhani ndugu huyu aliwahi kukwaruzana na Mzee Cheyo huko UDP, ingawa sijui waliishia wapi. Je alikuwa na shughuli zipi za kisiasa baada ya mkwaruzano ule wa UDP?
 
May the Lord rest his soul in eternal peace. Amen
 
Oooh!

Huyu marehemu nilikuwa sijamuona kama mika 10 hivi. Nilipokuwa Tanzania tulifanya naye kazi shirika la Bima la Taifa makao Makuu DSM.
alikuwa amejaliwa uwezo/kipaji kikubwa cha kuongea kutetea maslahi ya wafanyakazi. Kwenye vikao/mikutano ya wafanyakazi aliweza kujenga hoja pasipo kuogopa na kuisimamia kwa uhakika na vielelezo.
Je, hakuwahi kuomba kugombea alipoenda huko Maswa uchasguzi wa mwaka huu?
 
oooh God na matokeo ya huko Maswa mpaka sasa bado hayajatoka ..Tunaomba aliyena update atuhabarishe .

RIP Judulamabambasi
 
Raha ya Milele apewe na Bwana,Apumzike kwa Amani
AMINA.
 
jidu, nakumbuka aliwahi kumpindua mzee cheyo pale UDP na yeye kuwa mwenyekiti wa muda kabla hajaamia CUF, na kisha CCM.
 
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Pumzika kwa amani Jidu
 
Mungu aiweke pema peponi roho ya marehemu.

Nadhani ndugu huyu aliwahi kukwaruzana na Mzee Cheyo huko UDP, ingawa sijui waliishia wapi. Je alikuwa na shughuli zipi za kisiasa baada ya mkwaruzano ule wa UDP?

Baada ya mkwaruzano alirudi nyumbani CCM na sasa alikuwa anajaribu bahati yake ya kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge.
 
kwa kweli inatia huruma uchaguzi ni soo watu wanatumia hela nyingi sana nn?poleni familia ya marehemu.
 
Back
Top Bottom