Wakuu,
Taarifa zilizotufikia zinadai kuwa ndugu yetu (ambaye pia alikuwa JF member) bwana Amani Jidulamabambasi Nzugile hayuko nasi.
Inasemekana katuondoka mchana wa leo. Taarifa kwa kina tutazipata soon
Kaka Tosheka tu kuambiwa alikuwa member....Unataka uendelee kumchambua tena?...Rules za JF acha ziendelee.RIP Jidu,
MODS kama kuna uwezekano hata kutubandikia baadhi ya michango yake humu JF kama ipo. just kumkumbuka.