Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Mi mwenyewe nawapongeza sana kwa maendeleo waliyonayo.
Jide na Gadna kazeni buti ili muwe role model kwa vijana wetu wanaofanya kazi za sanaa hapo nyumbani Tanzania. Nawaomba wana bongo fkavour na waigizaji igeni mifano hii ya Lady JD na Gadna
Inanifurahisha sana watu wanaposema Jide na Gadna, nimeangalia posti zoote hamna hata mmoja aliyesema Gadna na Jide! Hivi huwaga ni bibi na bwana ama bwana na bibi?? Just my observation
Mkuu umesahau kitu! Ladies first!!!