Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
Hebu cheki Avatar yangu ndo utajua lipo vipi jicho la mahaba maana nasifiwa na wadada mtaani kwe2!!
hahahaaaaaaaaaaaaaa you are very funny!
Hebu cheki Avatar yangu ndo utajua lipo vipi jicho la mahaba maana nasifiwa na wadada mtaani kwe2!!
Acha kukejeli wewe....! Au ndio ile kwamba; when a woman say YES, she means NO....?hahahaaaaaaaaaaaaaa you are very funny!
Ni kama la nyati!
Acha kukejeli wewe....! Au ndio ile kwamba; when a woman say YES, she means NO....?
Basi naomba unifundishe lugha ya wanawake mama..... Nahisi una busara za kutosha kunivutia.....mnh we nawe,unataka kuyakuza sasa..!
hahahaaaaaaaaaaaaaa you are very funny!
Huo ndo ukweli Fab nasumbuliwa ile mbaya coz of ma eyz. Sa hv nina bonge la miwani usoni!
Unamaanisha "macho" au "jicho"?
mmmmhhh liko kama langu...lol
La kidole gumba na cha shahada vikiungana?Unamaanisha "macho" au "jicho"?
Wekeni hata picha basi ili tusiojua jicho la mahaba likoje tujifunze!! Wengine tunaelewa kwa vitendo zaidi especially masuala yanayohusiana na mapenzi
Mweee!