KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Tena mabaya zaidi walichukuliwa kwa ndege ya jeshi je watu wakitengo cha anga walikuwa wapi ndege ya jeshi inaingia kwenye anga letu inashuka na inachukua twiga wao bila kuhoji??Hapa nikuwa kila kitu kilikuwa kimekuwa organized na document zote zilionyesha uhalali wakuchukua twiga!!Maige kaangukiwa na jumba bovu!