ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
zaidi:
"tuna mkakati kabambe..."
'liwalo na liwe'
zaidi:
"tuna mkakati kabambe..."
....lakini
- tunataka kulihakikishia Bunge lako Tukufu kwamba kazi hiyo itafanyika na itafanyika kikweli,
- matokeo tutakuja kuyaonyesha hapa katika Bunge lako Tukufu.
- Tunaomba tu tupewe muda kwa sababu hakuna kitu kinachofanywa mara moja lakini matokeo tutakuja kuyaonyesha hapa katika Bunge lako Tukufu.
Mh Liss.... NAKUHESHIMU SANA Ohhhooo!!!!SWALI LA NYONGEZA
Mhe Waziri,pamoja na heshima uliyonipa,unaonaje ukawazadia wananchi moja ya uongozi uliotukuka kwa kuonesha uwajibikaji wa kuachia ngazi,ikiwa ni juu ya majibu yako ya "liwalo na liwe"?