Jibu la prof Sheriff kwa prof Tibaijuka

Guys, smell the coffee. Wacheni kutumia jazba au kuwadharau wazanzibari. Kuwa ni nchi ndogo haimaanishi munaweza kuwaburuza munavo taka nyinyi. Wazanzibari wametaka referendum kuhusu muungano na nyinyi mumeng'ang'ania tu, hamutaki kuwapa nafasi kujiamulia. Munafurahi s.sudan walipopata uhuru wao hata Mkapa alikuwepo huko lakini likija sualla ka zanaibar, muanatafuta kila sababu ya kuwakandamiza.
Nimeoma hoja zenu ukumbini na ni wazi kabisa munazungumza kupitia mioyo yenu na sio akili zenu. Tanzania ni nchi ya kusadikika, haipo ni ndoto tu.

Falconer,

..madai ya Referendum yana taratibu zake.

..kwa kuanzia madai hayo yanapaswa kupelekwa mbele ya bunge la muungano.

..Mh.Jussa aliteuliwa na Raisi Kikwete kuwa mbunge mwaka 2009. Sikupata kumsikia akizungumza lugha anazozungumza sasa hivi wakati alipokuwa na nafasi hiyo.

..lakini fuatilia msimamo wa Wabunge wa ZNZ[CUF + CCM] wakati wa mjadala wa sheria ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya. Wabunge toka Zanzibar kwa ushabiki wao, huku wakimtukana matusi makubwa-makubwa Mh.Tundu Lissu, wamepitisha sheria ambayo inaweka vikwazo kwa mjadala wa kina kuhusu muungano wetu wakati wa mchakato wa katiba mpya.

..mwisho, CUF wamewasilisha rasimu ya katiba ya Jamhuri ya muungano ambayo inapendekeza serikali 3 ambako kutakuwa na Raisi mmoja wa muungano, na serikali za Tanganyika na Zanzibar zitaongozwa na magavana!! Sisi wengine tunaona kwamba wanasiasa wa Zanzibar wanaongea kwa "ndimi mbili."

NB:

..kama kweli Wazanzibari wako serious basi waanze na kugomea masuala yote ya muungano. Washinikizeni viongozi wenu wasusie shughuli za muungano na kuachia madaraka yao ktk serikali ya muungano.
 
Tayari umeshaonyesha kujitilia shaka kuhusu uraia wako, kama wewe ni muhamiaji wa uvamizi katika kisiwa cha Unguja.
Kila kitu kipo wazi kama Waarabu, Wapershia na hata wahindi ujio wao Unguja ulikuwa ni kujitajilisha na hata kufikia
kutawala. Mimi sizungumzii kwa mdomo bali histori ya unguja imeshjiandika pitia tena hizo link uwelele vizuri.
Kwenye karne ya 4 Afrika kulikuwa hamna mipaka kwa hiyo Afrika wote ni wamoja. Ujio wa Watu weupe kutoka ulaya
ndio walioigawa Afrika na kuzitenga jamii. Na hata wale waliochukuliwa utumwa na kupelekwa Oman unataka kuniambia
wale ni Waarabu. Kwa Civilization tunawaita wa Oman wenye asili ya Kiafrika. Sawa na wewe mu Unguja mwenye asili
ya kiarabu. Hapa tunaelimishana kwa wale wasioelewa, kinachotakiwa wewe Barubaru utoe uzi wa kukanusha kwa data
za kihistoria kuhusu huo uzi wangu kuhusu ujio wa Waarabu na wapershia Unguja na hadi kufikia leo wakati wa kugombea
Bahari, Mafuta na kujitoa katika muungano. kinyume cha hapo nitazipuuza thread zako. Kinachosubiriwa ulete ilo darsa
lako kukanusha hiyo historia ya Unguja ili uweze kupata data zaidi ya hizo, siongei kwa kumbukumbu za kutoka kichwani,
bali ni vitabu vinavyojieleza.
 
I wish to take a great exception to what Professor Shariff wrote in the quoted article. The Professor is quibbling when he says that Zanzibar was not involved in the entire process of applying for additional 150 nautical miles of the United Republic of Tanzania from its EEZ. It does not need a genius to understand that at the time of the union between Tanganyika and Zanzibar, the seaward boundary was 12 nautical miles what is called territorial sea. This is a right of each coastal state. Following the union, they became one republic within internal boundary but with one known international boundary. In 1982, the United National Conveniton on the Law of the Sea (UNCLOS) was passed and it came into operation in 1994. Tanzania took an active part in its formulation and Mzee Warioba was the President of the Conference that passed it in 1982. The concept of EEZ was presented by the Kenyan delegation in early stages of protracted UNCLOS negotiations. Kenyan was supported by other East African nations and eventually the concept gained international acceptance. EEZ is an automatic right of coastal state and way back in 1989, the URT government declared to the rest of the world of its EEZ vide Act No. 3 of 1989. The President at the time if Professor Shariff's memory still serves him right was none other than Alhaji Ali Hassan Mwinyi, a Zanzibari and he assented to that Act. Professor Shariff should also remember that oil and gas matter were added into a List of Union matters in 1969 by an Act of Parliament assented to by Sheikh Abeid Amani Karume, and who at the time was the President of Zanzibar and the First Vice President of the URT.

Professor Shariff would have us believe that the Ministry of Foreign Affairs was not involved in the entire process! What was the Tanzanian UN Delegation doing? Wasn't the Permanent Rep of Tanzania and his officials at the UN present? Who made the arrangements for Professor Tibaijuka's delegation to present that application if it was not the Foreign Affairs Ministry? The Old Professor should not allow himself to sink so low and become a "Kijiweni person". I do not want to believe that his departure from the University of Dar es Salaam has been accompanied by the deterioration his of thinking and analytical capacity!

Sadly, the Old Professor seeks to defend the indefensible and render credence to Jussa's gibberish utterances. Oil and Gas are part of the List of Union matters and cannot be unilaterally removed from it by any side of the Union. The 2009 House of Representatives of Zanzibar Resolution over the removal of the two from the List is not the law of the URT and its passage did not remove oil and gas from that list. Under the current Union Constitution its the Union Parliament which has powers of amending the constitution. Any amendment that touches the List of Union Matters has to obtained more than a two-third majority from each side of the union. This has not been done. Under the circumstances whatever the jumpy Jussa and the Old Professor are talking is what should have been or should be and not what it is. For the benefit of the two and other jumpy Reps of the House of Representatives, a legal issue or dispute is resolved in accordance with the existing law and not under ones perception of what the law should be. What the law should be is the function of another arm of the state i.e. the parliament.

The Old Professor repeats the familiar refrain of those who argue that Zanzibar's rights have been and are being trampled on and on! It is rather sad when this is said by a person who should know better. Under the existing union framework Zanzibar has got its own government, parliament, and judiciary.Tanzania Mainland does not. Union MPs from Zanzibar take part in the Union Parliament, they deliberate and vote on non-union matters concerning Tanzania Mainland. MPs from Tanzania Mainland do not. Zanzibaris can run for parliamentary seat in the Mainland ala Dr. Hussein Mwinyi(Mkuranga 2000-2005) or be nominated for parliament as representative from any region of Tanzania as per his cited example of Mama Zakia Meghji. Those from the Mainland cannot do that.

Moreover, Professor Shariff has conveniently ignored to discuss the unpalatable facts of the the current union structure which allows one MP from Zanzibar to represent 12,000 people and to elected by not more than 4,500 electorates and enjoy attendant perks! This is not the case for his or her counterpart from the Mainland whose constituents average 160,000.

Professor Shariff feigns a wounded innocence on the demand made by the Mwananchi Newpaper's Editorial of January 26, 2012 that Rep. Jussa should muster the courage to apologize for the confusion he has caused. To him Jussa has nothing to apologize for all that he he did was to teach "Our Big Brother a lesson." Of course the Editor of Mwananchi was asking too much of Jussa, because it is the civilized i.e. gentlemen and ladies who apologize. To Professor Shariff, the jumpy Jussa and his comrades represent a new generation of Zanzibaris who cannot be bullied! It is a pity indeed, that the Old Professor could see in a falsehood peddler hope, courage, and change for Zanzibar! Surely, the late Sheikh Karume should be rolling in his grave!

It is this generation out of "jumpy thinking" that passed the 2009 amendment to the Constitution of Zanzibar of 1984 and defined its borders to mean those that existed before the union. A literal interpretation of that constitution amendment means that Zanzibar has not any right whatsoever over the EEZ and the Continental Shelf. The damage has been done and we, in the Mainland, who cannot continue to countenance the violation of our rights will stop Zanzibar from ever claiming any right over the EEZ because of that amendment. In law it is call the doctrine of estoppel. You cannot deny the truth of something you stated and made others to believe to be the case.

I rest my defense.
nonsense...
 
Mama FF hatukumbatii muungano kwa Sababu unazozitaja... Binafsi si mnazi Wa muungano natamani uvunjike hata kesho na wala si suala la serikali 3 nataka kila mtu ashike njia yake.... Kitu tunachotaka wazanzibari wawe wazi wasipindishe mambo na wawe na msimamo ... Wasilete choko choko wakati lengo lao ni kwamba hawataki muungano....
Hii kupinda pinda ndio inayoleta shida zaidi....

Hapana kupinda pinda ...Msimamo wa Zanzibar ni mmoja. Hao vibaraka mnao watumia sikuzao zinakaribia ukingoni. Mimi naona dalili za machafuko siku za mbele ,labda hapo tukianza kunyimana usingizi ndio mtaelewa . Namuomba M/Mungu asitufikishe hako.
 
Tayari umeshaonyesha kujitilia shaka kuhusu uraia wako, kama wewe ni muhamiaji wa uvamizi katika kisiwa cha Unguja.
Kila kitu kipo wazi kama Waarabu, Wapershia na hata wahindi ujio wao Unguja ulikuwa ni kujitajilisha na hata kufikia
kutawala. Mimi sizungumzii kwa mdomo bali histori ya unguja imeshjiandika pitia tena hizo link uwelele vizuri.
Kwenye karne ya 4 Afrika kulikuwa hamna mipaka kwa hiyo Afrika wote ni wamoja. Ujio wa Watu weupe kutoka ulaya
ndio walioigawa Afrika na kuzitenga jamii. Na hata wale waliochukuliwa utumwa na kupelekwa Oman unataka kuniambia
wale ni Waarabu. Kwa Civilization tunawaita wa Oman wenye asili ya Kiafrika. Sawa na wewe mu Unguja mwenye asili
ya kiarabu. Hapa tunaelimishana kwa wale wasioelewa, kinachotakiwa wewe Barubaru utoe uzi wa kukanusha kwa data
za kihistoria kuhusu huo uzi wangu kuhusu ujio wa Waarabu na wapershia Unguja na hadi kufikia leo wakati wa kugombea
Bahari, Mafuta na kujitoa katika muungano. kinyume cha hapo nitazipuuza thread zako. Kinachosubiriwa ulete ilo darsa
lako kukanusha hiyo historia ya Unguja ili uweze kupata data zaidi ya hizo, siongei kwa kumbukumbu za kutoka kichwani,
bali ni vitabu vinavyojieleza.

Hebu fuatilia historia ya JKN naye pia ni mtanganyika. Walle wajaluo na makabila mengine kule Mara si kutoka kenya wale. Lakin pia wale ndegu zetu Bukoba nao pia hawana asili ya Uganda, burundi na rwanda, vipi kule kigoma na mtwara na Lindi nao.

Hakuna mtanganyika safi kila mtu ana doa la nchi nyingine kwa mujibu wa historia kutokana na vitambalimbali na muingiliano wa biashara mbalimbali katika jamii hizo. Vita miongoni mwa makabila navyo ni chanzo kingine mwingiliano.

Ni vizuri turudi mada husika tuendeleze mnakatumesha .

kama unataka uzi wa historia basi wewe anzisha na sisi tumesheheni mengi sana tutaku darsisha.sha.



 
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania duniani. Pitia ramani zote na pitia hata Katiba yenu na ile ya Znz hutaliona jina hilo.

Bali kuna nchi inayouitwa Jamhuri ya muungano ya Tanzania.

Ukisema Tanzania wenjgi wetu tunaelewa ni tanganyika. sababu watanganyika wameukana na kulikana jina lao tanganyika na kujivika UTanzania.
Je wajua kwanini wakaita Jamhuri ya Muungano?


Check hiyo link Map of Africa, Maps of African Countries, landforms and rivers, and Geography Facts - Worldatlas.com
 
Baraza la Mapinduzi (baraza la mawaziri) la Zanzibar halikuwa na taarifa. Balozi Seif Iddi , kiongozi wa Serikali katika baraza la wawakilishi alisema mbele ya baraza la wawakilishi kama yeye hakujua lolote.

Nitarudie tena kwa mara ya mwisho kama hutanielewa nitakufuata huko "nikuzabe vibao" maana kuna wanafunzi hawaezi kuelewa ila kwa viboko!

Sio kila jambo inaloamua SMT au SMZ lazima lipitie kwenye bunge la JMT au BLW. Vivyo hivyo wakati hili jambo EEZ linajadiliwa na kufikishwa UN halikupelekwa kwenye bunge la JMT au BLW (ni makosa ya katiba yetu mbovu).

Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba Zanzibar haikushirikishwa. Hili jambo liliamulia kwenye baraza la mawaziri la SMT ambalo kuna wajumbe kutoka ZNZ nao VP Dr. Bilal, Dr. Shein (waziri asiye na wizara maalumu), Shamsi Vuai Nahodha (mambo ya ndani), Hussein Mwinyi (Ulinzi), Samia Hassan Suluhu (Muungano), Omari Nundu (Mawasiliano/Uchukuzi) etc.

Balozi Seif Idd kutojua kama kiongozi wa BLW, haina maana kwamba SMZ ilikuwa haifahamu. Ndiyo maana kwenye ule ujumbe ulio kwende UN kupeleka ombi walikuwepo wajumbe kutoka BLW, SMZ. Je, hawa wote walitoroka makazini kuapata ruhusa?! TAFAKARI

Tatizo kubwa la viongozi wa ZNZ wanapokuwa na wa wenzao wa muungano wanaongea lugha tofauti, wanapokwenda huko ZNZ wanaongea lugha nyingine, hii haikuanza leo tangia wakati wa Abood Jumbe Mwinyi na kitabu chake THE PARTNERSHIP. Matokeo yake Nyerere akamuweka kizuizuni Kigamboni.

This is the root causes ya maatizo yenu Wazanzibari, bila kuwa take into task viongozi wenu mtabaki kuwalalamikia Watangayika milele. Mfano mwingine ni sheria ya mabadiliko ya katiba mpya wabunge wenu (CCM na CUF) walivyoshadadia hiyo sheria inayominya uhuru wa kutoa maoni kwenye mambo yanahohusu muungano.

Mtajibaraguza huko kwenye masikani ya kahawa na kashata lakini we know finally mtafyata mkia na eno litaongezwa. Mark my words.
 
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania duniani. Pitia ramani zote na pitia hata Katiba yenu na ile ya Znz hutaliona jina hilo.

Bali kuna nchi inayouitwa Jamhuri ya muungano ya Tanzania.

Ukisema Tanzania wenjgi wetu tunaelewa ni tanganyika. sababu watanganyika wameukana na kulikana jina lao tanganyika na kujivika UTanzania.
Je wajua kwanini wakaita Jamhuri ya Muungano?


Soma katiba uelewe:

Part I
1. Tanzania is one State and is a sovereign United Republic

Kwa lugha nyingine Tanzania = United Republic of Tanzania. Kwa hiyo Jina Tanzania ni kifupi cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tanganyika + Zanzibar = Tanzania = United Republic. Mbona unashindwa kuelewa hiyo lugha rahisi vile.


2.-(1) The territory of the United Republic consists of the whole of the area of mainland Tanzania and the whole of the area of Tanzania Zanzibar, and includes the territorial waters.

Hapa maana yake ni kwamba hakuna kitu inaitwa Tanganyika, bali kuna Tanzania bara na Tanzania Zanzibar ambazo ndio zinaunda Tanzania moja au Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili hakuna eneo la maji kwa ajili ya Zanzibar wala Tanzania bara, eneo lote la maji ni la Tanzania (Jamhuri ya Muungano).
 
Soma katiba uelewe:

Part I
1. Tanzania is one State and is a sovereign United Republic

Kwa lugha nyingine Tanzania = United Republic of Tanzania. Kwa hiyo Jina Tanzania ni kifupi cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tanganyika + Zanzibar = Tanzania = United Republic. Mbona unashindwa kuelewa hiyo lugha rahisi vile.


2.-(1) The territory of the United Republic consists of the whole of the area of mainland Tanzania and the whole of the area of Tanzania Zanzibar, and includes the territorial waters.

Hapa maana yake ni kwamba hakuna kitu inaitwa Tanganyika, bali kuna Tanzania bara na Tanzania Zanzibar ambazo ndio zinaunda Tanzania moja au Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili hakuna eneo la maji kwa ajili ya Zanzibar wala Tanzania bara, eneo lote la maji ni la Tanzania (Jamhuri ya Muungano).

Ndio maana nakwambia acha uvivu wa kufikiri.

Nimekwambia hakuna nchi inayoitwa Tz, bali kuna Jamhuru ya muungano wa Tanzania (JMTz). Na hata katiba yenu na hata kwa njia raisi angalia passport yako imeandikwa hivyo.

Sasa naomba nikuulize Je katiba yenu imesema kuwa Tanzania ni kifupi cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (nimepitia abbreviation za katiba yenu hakuna hilo) sijui nijuze umelitoa wapi kifupi hicho?

 
Barubaru,
Mjadala unaendelea, Nilishafafanua kama waafrika haswa kuanzia mashariki ya kati mpaka kusini wote ni wamoja. Kabla ya
wazungu kuweka mipaka na kuchora ramani ya kwanza ya Afrika na kujigawia makoloni. waafrika wa sehemu hizo
tajwa walikuwa wanaishi popote pale wanapotaka na wanapoona panawafaa. Sasa basi mpango huo wa kuanza kuzitenga
jamii barani Afrika , uliitwa "Berlin Conference" na ulifanyika kuanzia November, 1884 mpaka February 1885. katika mji wa
Berlin, Ujerumani. Nyuma ya hapo kulikuwa hamna mipaka. Ukiangalia Tanganyika baada ya michoro ya kuigawa Afrika
tayari ilishawafungia watu kwa kutokuweza kwenda wanapotaka kuhamia au kurudi kule walipotoka.
Makabila mengi ya Tanganyika yamekuja kutoka Kaskazini, Kusini na magharibi. Tuchulie mfano Wapare, Wamasai wametokea
" ABYSSINIA "yaani ETHIOPIA. Wangoni wametokea AFRIKA YA KUSINI . Wabembe, Wamanyema hao wametokea KONGO.
huo ni mfano mchache tu, na hayo makabila yote yalikuwa na sababu za kuhamia sehemu nyingine, aidha malisho ya mifugo,
aidha ardhi ya kulima, aidha kuvua samaki, aidha kushindwa vita na kukimbia na kuhamia sehemu nyingine.
Aina hiyo ya maisha ilikwama na kuwa mwanzo wa civilization kwa waafrika Waarabu wahindi waliokutwa katika sehemu husika.
Na ukazidi kuwa mgumu kwa watu kwenda na kuhamia sehemu nyingine,baadaya kuchorwa ramani ingine ya kiugawanya Afrika, ramani iliitwa " Political colonial africa, " 1916.
Turudi katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar. yaani " THE ARTICLES OF UNION BETWEEN TANGANYIKA AND ZANZIBAR "
ndio wenye matatizo madudu mengi ndani yake. kutokana na wakati wanatakiwa wakae mezani tena na ufanyiwe marekebisho.
kwa mapungufu na yote yanayohitajika muhimu yaingie humo, kwa sababu ulaghai upo. Baada ya hapo Articles mpya ya
muungano, yaani Union agreement inatakiwa ifanyiwe registrering katika secretariat ya UN, Legal Councel.
Na hapo Muungano ndio utakuwa umekamilika, Basi ikiwa kutakuwa na mwelekeo kutokuelewana kati ya nchi hizo mbili
mmoja wapo akipeleka mashtaka umoja wa mataifa, registered treaties to invoked. Kazi sasa imebakia kwa Watanganyika
na Wazanzibar kuuweka sawa Muungano, ilo ndio Darsa.
 
Ndio maana nakwambia acha uvivu wa kufikiri.

Nimekwambia hakuna nchi inayoitwa Tz, bali kuna Jamhuru ya muungano wa Tanzania (JMTz). Na hata katiba yenu na hata kwa njia raisi angalia passport yako imeandikwa hivyo.

Sasa naomba nikuulize Je katiba yenu imesema kuwa Tanzania ni kifupi cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (nimepitia abbreviation za katiba yenu hakuna hilo) sijui nijuze umelitoa wapi kifupi hicho?



Nimekwambia hakuna nchi inayoitwa Tz, bali kuna Jamhuru ya muungano wa Tanzania (JMTz). Na hata katiba yenu na hata kwa njia raisi angalia passport yako imeandikwa hivyo.

"1. Tanzania is one State and is a sovereign United Republic"

Hiyo ni nukuu kutoka kwenye katiba, ni sentensi ya kwanza sehemu ya kwanza kwenye katiba ya Tanzania. Tanzania ndiyo jina lilizaliwa na muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na baadaye ikwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hiyo unapotaja Tanzania unamaanisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ni kweli hakuna nchi inayoitwa Tz bali kuna nchi inayoitwa Tanzania = Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania ambayo ufupisho wa jina lake ni TZ au TZA. Na hakuna nchi inaitwa "Jamhuru muungano wa Tanzania"

Sasa naomba nikuulize Je katiba yenu imesema kuwa Tanzania ni kifupi cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (nimepitia abbreviation za katiba yenu hakuna hilo) sijui nijuze umelitoa wapi kifupi hicho

Jibu lako ni hili hapa:

"1. Tanzania is one State and is a sovereign United Republic"

Watafute wanasheria wakufafanulie maana ya hiyo sentensi
 
Baraza la Mapinduzi (baraza la mawaziri) la Zanzibar halikuwa na taarifa. Balozi Seif Iddi , kiongozi wa Serikali katika baraza la wawakilishi alisema mbele ya baraza la wawakilishi kama yeye hakujua lolote.

Sasa amejua si achukue hatua??
 
Sasa amejua si achukue hatua??

Huu ni usanii mtupu, mimi nataku kujua kwanza kwa nini tuna wabunge wa Zanzibar? na mawaziri wazanzibari? kama ushiriki wao hautambuliwi Zenji kwa nini mwanachi wa bara anateseka kuwalipa na kuwalisha watu wasio na shukurani? si wafunge mizigo warudi Zenji? ili tujue ni watu gani wa ku deal nao, au wanasubiri Gobos awambie vunjeni sasa muungano????
 
HABARI ZENU,

The controversy about the extension of the sea boundary has come at the right time when Zanzibaris have shown that they will no longer be hijacked when their vital national interest are at stake, regardless of party affiliation. It was rather disingenuous for Prof Tubaijuka to try to introduce party divisions when she claimed that CUF was claiming that Zanzibar was not consulted.

If she heard the debate in the House of Representatives, it was almost unanimous, and prominent CCM backbenchers made a point of saying that this was not the question of CUF but of the whole of Zanzibar. She should not try to divide Zanzibaris again. We have suffered enough from such tactics.

It seems that mainland leaders feel that if you have a few Zanzibaris in your gang, then Zanzibaris are represented – and it is never difficult to get a few vibaraka, as we know all too well from our history. The question is whether the people in Zanzibar even knew this business was cooking – certainly the House of Representatives, a body that was elected by the whole people of Zanzibar, did not know about it until the professor was in New York presenting the document to the UN. I and many of my friends who try to keep up with events affecting our country were taken by surprise.

Prof Tibaijuka may be right that some people even in the Zanzibar Government may have been aware of this project, but the Minister of Lands in Zanzibar, Mr Shamhuna himself said in the House of Representatives that he know about it, but the Zanzibar Government did not know it officially.

The Executive Summary of Tanzania's submission to the UN has 2 long lists of institutions and people who were involved in this project, but mentions only Shamhuna's Ministry of Lands out of 9 institutions, and only one State Attorney from Zanzibar out of 8 members of the Technical Core Group.

Now Professor Tubaijuka mentions a few more names of Zanzibari ‘representative', including my friend and former student Zakia Meghji, but if my memory serves me right, she used to be an MP for Moshi, and has never pretended to be representing Zanzibar except as a person who was born in Zanzibar. This is definitely a case of desperation in looking for Zanzibari faces.

But all this still does not cover the substantive issue involved. It is well known that Foreign Affairs is a Union matter, and therefore any dealings with the UN has to involve the Minister of Foreign Affairs, even if the exact issue involves only one side of our Union. There are plenty of cases when this has been done about issues concerning non-Union matters of Mainland Tanzania.

Therefore, it is not a favour to Zanzibar that once in a while the Ministry of Foreign Affairs has to take up the case when Zanzibar's interests are concerned – it is our right, iof we are part of the Union. The same applies to the defence of Tanzania's territorial boundaries, which include the now extended boundaries in the Indian Ocean – that is its responsibility.


But this does not mean that the Union Government therefore becomes the owner of all the resources within the territorial boundaries of Tanzania. The Articles of Union had defined 11 Union Matters that came under the Union Government, and the sea is not one of them. Since 1964, the Union Matters have been increased to 22, illegally according to Prof.

Shivji, but even in this extended list you will look in vain for the blue seas. It is for this reason that Prof. Tubaijuka is the Minister of Lands, Housing and Human Settlements Development (all non-Union matters), but the seas are not included. Why she was sent and not the Minister of Foreign Affairs is for the Union President to explain.


Therefore, it has to be admitted that since the oceanic resources are not a Union matter, but are of vital concern for the islands of Zanzibar which are surrounded by the sea on all sides, the people of Zanzibar have a direct stake in what is decided about their resources. And here it is not enough to mention a few names, however, highly placed they may be, and say Zanzibaris were represented.


The same argument was used in the case of the first draft of the Constitution Bill. Former Speaker Samuel Sitta claimed that Zanzibaris were consulted, naming the Zanzibar Minister of Good Governance and the AG, but it turned out that they were asked to submit their recommendations, but adopted only two out of 13, and threw the rest in the dustbin, and then went on to add many more without consulting even the Zanzibar Government.

Don't they ever learn?

What the Representative Ismail Jussa was trying to do was to teach our Big Brother another lesson, and the mainland-based Swahili newspaper dares to ask him to apologise to Prof Tubaijuka?

I think it is Prof Tubaijuka and the Union Government that need to apologise to the people of Zanzibaris for trying once gain to take us for a ride. But as the old politician Hasan Nassor Moyo told Samuel Sitta, the new generation in Zanzibar is not the same as the old generation of the 1960s, and will not say ‘hewallah bwana.'

Abdul Sheriff

dont expect an apology
nowdays you dont say ‘hewallah bwana.' but you keep lamenting for a short time,then u let us do what we have to do,& thats all we want
 
Hello ndugu,be honest with yourself,Zbr will not be a soverein country unless recognized by the UN and not Pror Tibaijuka or anyone else, you people are fumbling about while you clearly know Zbr is not a soverein country, the prof,i mean Tibaijuka is very right here, there is only Tanzania in international recognition,it is simple,tell me your nationality fist then i'll train you!
 
Kwani ipo nchi duniani inayoitwa Tanzania? Tazma vizuri katiba na ramani yako. [/QU Tanzani ipo ndugu,kwenye ramani kabisa,Zbr haipo!we unaangalia ramani ipi? Nyie mko kinyume,iwekeni hiyo nchi kwenye ramani kwanza,this is a no contest debate
 
Hivi tatizo hapa ni nini hasa:
-Ombi lililowasilishwa UN?
-Aliyeliwasilisha UN?
-Taarifa kwa BLW kukosekana?
-Ndoto za Mafuta kwenye mwambao huu?
-Mipaka mipya ya "NCHI" ya Zanzibar ndani ya Katiba yao?
-Katiba ya JMT kutokuwa na nafasi tena huko Zanzibar?
-Ni wapi KATIBA ya JMT imevunjwa?
-Umaarufu tu wa kisiasa wa Jussa & Co.?
-Nani ananufaika na malumbano haya ya kijinga?
Au agenda ni nyingine kabisa!
Tatizo ni mafuta waliyoambiwa yapo. Hahhahhaha siku wakiambiwa mafuta yapo kuanzia coast ya Dar mpaka kule kwa samaki nchanga hahahhahah wataudai muungano kwa nguvu zote.
Hawa watu wanajichanganya na zaidi ni watu wachache wanawapotosha wazanzibari ni hili kundi la maprofessssazzzzz wakitumwa na mutu mumoja hivi....
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom