Jibu la prof Sheriff kwa prof Tibaijuka

ilboru ilitoa watu na viatu


Shule yangu Ilboru inasifika sana
popote ninapokwenda , inasifika sana,
kwa nidhamu na masomo inasifika sana.
Shule angu naku peenda.

walimu wafanyakazi wanasifika sana. ( hapa namkumbuka mpishi mzee Lukuumay na Erasto)

Jamani Bino yupo. navipi kile kigari chake MZC 611 siku hizi kimesajiliwa kwa namba gani.

Ilboru nakupenda sana.
 
kwa kweli ni upumbavu kama prof hajui kama zanzibar sio nchi na haitambuliki popote au ni prof maji marefu?sitaki kuamini anayosema huyo prof wa zanzibar.
 
ipo inchi ya jamhuri ya muungano wa tanzania...tena in capital letters.

Umepata na kama ningeambiwa nikupatie mji basi ningekupa Salalah, Oman.

Sasa siku zote kumbuka Tz sio sawa na JMTz.
watu wakisema Tanzania siku zote wanamaanisha Tanganyika.
Na JMTz ni muungano wa Tanganyika na Znz.

 
Tatizo la wazanzibar misimamo ya wabunge wenu wengi ni kuuma na kupuliza wakati sheria ya kutengeneza katiba mpya inajadiliwa kwenye bunge la muungano wabunge wenu karibu wote (CCM na CUF) waliunga mkono ile sheria mbovu na kandamizi kwa ushabiki wa kufiri wanakomoa CDM kumbe nao inawala na kama sheria hii haitabadilika ikatumika kukusanya mani ndio Zanzibar watakuwa wamepoteza maslahi yao zaidi
 
Shule yangu Ilboru inasifika sana
popote ninapokwenda , inasifika sana,
kwa nidhamu na masomo inasifika sana.
Shule angu naku peenda.

walimu wafanyakazi wanasifika sana. ( hapa namkumbuka mpishi mzee Lukuumay na Erasto)

Jamani Bino yupo. navipi kile kigari chake MZC 611 siku hizi kimesajiliwa kwa namba gani.

Ilboru nakupenda sana.
Halafu bila aibu unamkandia Mwalimu. Ilboru ungeiona wapi kama sio MUUNGANO, SERA nzuri za ELIMU za enzi hizo? Mwalimu aliyewachukia WAISLAMU akakupeleka Ilboru, shule alootaifisha kwa WAKRISTO?
 
Niliposema upupu, nilimaanisha kua, huyo prof hakutoa majibu, sanasana alitetea tuu na kuvutia upande wa zanzibar...kama vp ipigwe kura ya maoni zenji na bara muone kama hatutaandika barua nyinginet ya kumiliki hadi zanzibar kwa mara ya pili.
 
Tibaijuka kalikoroga.

Anachosema Professor Sharif ni ndicho inavyokuwa. Hawa watu ni wizi na sasa wanataka kuiiba nchi nzima na mipaka yake, Wazanzibari msikubali hili na tupa wa bara ambao tunawaunga mkono.

Ikiwa Muungano na uvunjike, kwani una manufaa yepi kwa bara na au visiwani?

Hapa wale wa bara wanaosema kila siku Muungano uvunjike leo tutawaona unafik wao! Jee, bado uvunjike au kwanza mipaka iongezwe?
Kwa KATIBA ipi? Tuache kufikiri na kufanya vitu kwa hisia au mazoea.
 
Natofautiana kabisa na Prof Shariff. Sio kila raia Tanzania bara anajua kila kitu kuhusu huu mchakato wa kuomba nyongeza ya eneo la bahari. Na hata bunge letu sio wabunge wote (wa bara na visiwani) wanlifahamu hili. Na sioni ni kwa vipi serikali inaweza kufanya kazi kwa kuongea na watu milioni 40 kwa kila jambo. Yapo mambo yanajadiliwa katika bunge, baraza la wawakili, na yapo mambo yanajadiliwa katiba baraza la mawaziri. Huo ndio mfumo tulionao. Na kwenye mchakato huu serikali ya mapinduzi Zanzibar ilishirikishwa kikamilifu kupitia cabinet. Kama Prof Sharif na Jussa hawakupata taarifa sio hoja maana wao hawapo kwenye cabinet.

Hizi kelele za kuwa tunaonewa zinaonekana kupanda nyuzi joto tangu CUF kuingia serikalini. Lakini wengi wanafahamu kuwa CUF wanaamini Tangayinka ndio imekuwa kikwazo kwao (CUF) kutekeleza azma wa wajomba zao. Na wapo waliokiuwa na mawazo sawa na CUF lakini hawakujitokeza hadharani pengine kwa kuhofia kuwa kitumbua kingeingia mchanga. Sasa wanajitokeza maana hakuna boundaries tena. sisi sote ni wamoja! adui yetu ni yule! sisi vs.wao!

Prof Sharif alitaka Prof Anna Tibaijuka apande boti akamweleze Jussa kuwa anaenda UN kuwasilisha maombi? Kwa nini asimkabe koo Dr Shein ambaye ni mjumbe kwenye cabinet ya Jamhuri ya Muungano? Kwa nii asimuulize maswali mwenyekiti wa kamati ya mchakato ambaye anatoka Zanzibar? Kwa nini asiende kwenye ofisi za Wizara ya Ardhi na kuwaamuru waombe msamaha kwa kutowapa wananchi taarifa hizi? Zakia Meghji ameenda New York akiwakilisha Zanzibar kwa nini Prof Sharif na Jussa hawajamuhoji? Prof Anna Tibaijuka anaingiaje hapa?

Hoja kwamba wawakilishi toka pande zote mbili (CCM & CUF) waliunga mkono hoja ya Jussa ni ya kutazama kwa makini. Kabla ya kuwasilisha hii hoja kwenye baraza la wawakilishi Jussa amepita kila mahali akipandisha maruhani ya watu ili wakubaliane na madai yake! Kitu ambacho Jussa hakusema ni kama je mchakato ulimhusisha nani toka Zanzibar? Sasa naona amemvuta Prof Shariff baada ya mambo kuwekwa hadharani na Prof Tibaijuka. Hivi kweli kama kuna kasoro kwenye huu mchakato njia anazotumia Jussa (na sasa Prof Sheriff) ndio sahihi kurebesha? Huku sio kuendeleza siasa za kishwari ambazo CUF wana ujuzi nazo? Kwa nini wasikae chini wakajidili? Kuna siku Jussa au Prof Shariff ametaka kuonana na wajumbe wa kamati husika ili kutoa dukuduku lao? Mambo ya kitoto kabisa haya.

Pumba...Zaki Meghji anawakilisha Zanzibar??? katumwa na nani kutoka Zanzibar??? Balozi SEIF Iddi ,kiongozi wa serikali katika baraza amesema yeye hajui wala hana taarifa...Meghji anawakilisha Bara sio ZAnzibar.
 
ndiyo shida ya kutongoza msichana chini ya miaka 18,ukimaliza kupiga mambo serikali inakunganganiaa kuwa umebaka.
tanganyika ni nchi kubwa imeeungana na zanzibar sawa na tarafa ya huku bara.
sasawabara mimba mtaikubali je mkono wa sheria kuwa mlibaka mtaikwepa vipi?
 
Is it true that this article was written by the one who has been introduced as Professor?

Huyo lazima ni prof maji marefu! Na Kama amesoma basi amesoma Zanzibar University! Na Kama anafanya kazi basi ni hapo hapo Zanzibar University!
 
Upupu...tibaijuka alienda kwa niaba ya tanzania kwa kua hakuna nchi inayoitwa zanzibar.

Jamani naomba nielimishwe, hivi kama Zanznibar sio nchi mbona ina Rais? maana kama sio nchi basi ni mkoa kama wengine wanavodai, sasa mbona haina mkuu wa Mkoa? NACHANGANYIKIWA MWENZENU ! maana pia nasikia ina bendera yake, na wimbo wake wa Taifa ! sasa inakuwa vipi hapa? pls mwenye kujua sheria naomba msaada.
 
Haki ya ZANZIBAR inaibiwa na Tanganyika.
Kwa OMBI hili la Tibaijuka? Semeni agenda yenu bwana. Chukueni hatua za wazi. USSR waliweza, Yugoslavia waliweza, Eritrea wameweza, Sudan iliyokuwa moja sasa ziko mbili, tatizo lenu mnafanya mambo kwa visingizio vya kike sana.
 
"Bada
ya deal kushtukiziwa
Tibaijuka aja na
maneno laini lakini ya
Ulahai" MKWELI 26/01/2012 kwa 8:43 um · Ingia kujibu Huyu Tibaijuka ni
msomi lakini si dhani
kuwa anielewa kazi
yake sana kama
anavothania kuwa
anaielewa. Kwa yeye kusema kuwa suala
linalohusu mipaka ya
Tanzania liko chini yake
sio sahihi, hivi tuseme
haelewi kuwa suala la
ardhi na uchumi sio masuala ya Muungano? Au kusema eti suala la
kugawanya raslimali
ndani ya muungano
linaweza kujadilika
badala ya kuendelea
kuzozana juu ya pendekezo la kuomba
eneo la maili 200 la
bahari kuu ya hindi
kwenye umoja
wamataifa. Mbona anazungumza
utumbo huyu
mwanamke? ardhi,
eneo la bahari na mali
ni ya Zanzibar vipi
atasema tunaweza kugawana ndani ya
Muungano? na wala
hahisi kuwa anafanya
makosa kutoa wazo
hilo. Zanzibar ikiachia
mipaka yake
iliyoitenganisha na kati
yake na Tanganyika
kuzunguukwa basi hiyo
ndio itakuwa kama ilivo Palestine
ilivozunguukwa na
Israel nchi yetu
imefutika kabisa katika
ramani ya dunia. HILI
LISIRUHUSIWE ABADANI, Muungano
ulipotufikisha inatosha. makame silima 26/01/2012 kwa 8:58
um · Ingia kujibu Huyu kizee wenu naona
kapelekwa ovyo kama
vile huyu wetu Princess
Shamuhuna, mana hivi
sasa tayari alikoroga na
kujikoroga mwenyewe kama hao waliomtuma
hawaja mueka kitako
huenda akatapika
mengi na kugoroga
hata huo u-Profisa
wake. Eti anasema tudai
kwanza hilo eneo kwa
jina la Muungano halafu
tutaweza kugawana
hizo mali zitakazo
patikana ikiwemo mafuta eepoo? huyu
mzima lakini?. Yani baada ya hapo
alipo tutonesha anazidi
kikihujumu kijaraha,
yeye kiswahili hakijuwi
kuwa Bahari Ardhi sio
mali za Muungano wacha zibakie huko UN
zitakuwa safe tukisha
vunja Muungano kuliko
kuzikumbadia wao
Majambazi wakubwa
hawa hakuna mdogo wala mkubwa ujambazi
ni utamaduni wao
kumbe. Hivi sasa wanafanya
kila vilinge denda
linawatoka kwa
rasilimali za Zanzibar
ama kweli hawa sio,
mbona sisi hatuna choyo na rasilimali zao?. Mungu ibariki Zanzibar. SSSlim 26/01/2012 kwa 11:59 um · Ingia kujibu Kwani huyu profisa
Tibaijuka haelewi kuwa
suala alilolipelekea
maombi UN ni la union
wakati yeye sio waziri
wa wizara ya muungano?? Hivi kweli
suala kama hili atumwe
mkurugenzi sijuwi nani
kutoka wizara husika
kwa upande wa
Zanzibar asiwe hata katibu mkuu au naibu
katibu mkuu wa wizara
husika? Ama kweli hii
desperation kama prof
Abdu Sheriif alivosema
kuwa wenzetu kutaka kuonesha na
kutudanganya. Ni
ukweli usiofichika kuwa
hili halikuja tu kichwa
mchungwa lilikuepo
katika meza tangu miaka ya nyuma kidogo
lakini baada ya
urekebishwaji ya katiba
mwaka 2010 pengine
wenzetu wameona
wapitie njia nyengine Mungu hatosimama na
nyie kwa hili na kwa
jengine madhali
hamuna nia safi. Ni
kweli mhe Silima
mbona sie hatulili almasi na dhahabu na
gesi kuililia lazima ziwe
katika muungano ela
nyie hamupati usingizi
mpaka muhakikishe
kuwa kila cha Zanzibar mumekihodhi hicho ni
choyo..
TUMECHOKA NA HUU
MUUNGANO WA UTAPELI
TAPELI Rocket 27/01/2012 kwa 6:18 mu · Ingia kujibu Mimi mpaka sasa hivi
naona maneno mengi
yanasemwa na
wawakilishi wetu na ni
ya maana sana
kuchukuliwa hatua za haraka na uongozi wa
juu wa Zanzibar,
SERIKALI YA ZANZIBAR
yenyewe, lakini
nashanga yoote
yasemwayo Rais wa Zanzibar amebakia
bubu tu. Sijawahi
kusikia akisema kitu cha
maana kutetea hali
kama hizi. Mambo mengi yanafifia
kwa sababu rais wetu
ni bubu haingilii kati
anapoona jambo la
kuidhalilisha Zanzibar
linafanyika na wala hakemei kitu. kama
hawezi kazi awapishe
vijana wafanye kazi na
nakuhakikishia ndani ya
mwaka mmoja Zanzibar
itakuwa huru na kupiga hatua mara mia ya
ukilinganisha na pale
CCM ilipooundwa na
kutwa madaraka
kimabavu. Huyu raisi kama hana
moyo wa kuitetea
Zanzibar, basi hata
wawakilishi
wakipasuka ndimi kwa
kusema kuitetea Zanzibar, basi tutzorota
tu na miaka itakatika
bila mafanikio. PERIOD kamanda 27/01/2012 kwa 6:21 mu · Ingia kujibu wazanzibari
tushukuruni kua
mambo haya yanakuja
tukiwa katika hali ya
umoja kwa kiasi flani ,
lau kama ingekua kipindi kile cha
msuguano wa kisiasa
tungekua
tushaumia ,tutumieni
mtaji wetu wa umoja
uliopo tuzuie ujambazi huu wa tanganyika ,
wao washauza kila kitu
huku kwao ,
hawna tena migodi
wamebaki kutizama
macho tu huku wakisubiri kupewa
asilimia tatu ,
wameuza mpaka
maeneo wanayoishi nd
zao hawakujali kitu ,
sasa jicho lao linamulika mali za wazanzibari
wanataka kuzikwpua
kwa nguvu na ujanja
ujanja ,
tuwe pmj jamani ,
tusiwape nafasi hawa , hamna kucheka cheka
nao ni sura mbaya tu
tukikutana nao
tuwachukie kweli kweli
sasa hivi mshauri2 27/01/2012 kwa 9:12 mu · Ingia kujibu huyu mama haelewi
kama suala la ardhi na
uchumi sio la
muungano. yeye anajua
kwamba nchi ni moja
tu. na ndio maana aliuliza kwanini
tunagombania fito
wakati tunajenga
nyumba moja.
inamaanisha haitambui
kabisa uwepo wa zanzibar kama nchi.
 
Niliposema upupu, nilimaanisha kua, huyo prof hakutoa majibu, sanasana alitetea tuu na kuvutia upande wa zanzibar...kama vp ipigwe kura ya maoni zenji na bara muone kama hatutaandika barua nyinginet ya kumiliki hadi zanzibar kwa mara ya pili
.[

haa haa hah...Dawa yenu iko jikoni, hizo agenda za ki-vatican zitawaeka pabaya. WE ARE STILL TO REACH THE BOILING POINT...
 
Pumba...Zaki Meghji anawakilisha Zanzibar??? katumwa na nani kutoka Zanzibar??? Balozi SEIF Iddi ,kiongozi wa serikali katika baraza amesema yeye hajui wala hana taarifa...Meghji anawakilisha Bara sio ZAnzibar.

Mimi namfahamu vilivyo huyo Bi Zakia Hamdan na alipokuwa chuo cha Ushirika Moshi aliolewa na Prof Ramadhani Maghji na kufanya kubadilisha jina na kujiita Zakia meghji.

Ni mtu wangu wa karibu sana hata watoto wake akina Mahir (Rasta) na Nyangu nawafahamu pia.

Kifupi huyu hana sifa za kuitwa mzanzibar na wala hata kadi ya uraia wa Znz. yeye ni mtu wa Bara.

Kumbuka ili upate kitambulisho cha Uraia wa Znz ni lazima ukae Znz kwa miaka mitano ndani ya Znz .

 
Back
Top Bottom