Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
- Thread starter
- #41
nakusoma sana na siwezi kusema unakosea.....hapana kuna muda utahitaji kujirudi tu....uanjua suala la Lyumba ni tete sana.....ushanisoma? rafiki yangu mmoja kaamua kutundika nae daruga alimega shori mmoja ambae ana pacha wake wanafanana sana....kumbe mmoja alikuwa na waya....mara akaagua sana akafa jamaa alichanganyikiwa maana hakujua ni yupi hasa alilala nae....bahati mungu yuko nae....kaamua kuacha hayo mambo ya kumega.....Okay...good luck...mimi naendeleza libeneke...kumega AKA mtindo mmoja...
......ile list ya lyumba ni tete sana nilikuwa nabisha sana kama jamaa ana ngoma lakini aisee ni kweli na kuna wakati nikionganisha chain naona kama vile inanikaribia naacha kuonganisha......ni wakati wa kutulia sasa....kumega sio sifa wakati huu....