Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
......kumega AKA kuzini mungu hapendi sitaki niingie ndani kwenye mafundisho maana italeta mtafaruku.....ila hakuna jamii ambayo utaenda utaambiwa uzinifu ni sifa!
mimi ni kijana under 35 ipo siku nitaulizwa je nguvu zako za ujana ulifanya nini? nitajibu nini nikikumbuka ujana nimeutumia kwenye maasi......
Ha!ha!ha!...wapi Masa, wapi Fidel.....bwana ametamalaki, nchi na ishangilie, visiwe na vifurahi!
Yule aliye mfufua Lazaro leo yupo hapa, yule aliye waponya wakoma leo yupo hapa, yule aliye waongoza waizrael kwenda kny nchi ya ahadi leo yupo hapa!
Bwana kama ukihesabu maovu yetu, je ni nani atasimama?
Safi sana mkuu Yo Yo!