JF yaweza kukusaidia fasta kwenye haya...

WomanOfSubstance

JF-Expert Member
May 30, 2008
5,458
956
JF ni kisima cha maarifa. Kuna wataalamu wa kila nyanja hapa... nimepata wazo ...kwanini tusiwe na database ya wataalamu ili mtu upatwapo na ishu au prob..basi badala ya kuanika bayana.. uwepo uwezekano wa ku PM kwa muhusika na kupata jibu la papo kwa hapo badala ya kuliweka kwenye thread halafu likaanza kuingiliwa na side discussions ilhali mtu unataka msaada wa haraka....au mnaonaje waheshimiwa?

Nimeshaona tuna wataalamu katika nyanja zifuatazo:

Ujasiriamali na biashara - .......................................
Mahusiano ( hapa usiseme!) - Mbu, Nyamayao,Nguli,
Siasa na Uongozi -Mzee Mwanakijiji, Mkandara, Kitila Mkumbo......
Technolojia ya mawasiliano - Invisible,
Masuala ya kimataifa-............................
Lugha ya kiswahili -Mzee Mwanakijiji
Lugha ya kiingereza - Bluray
Vichekesho na nyepesinyepesi - .................................
Uandishi wa riwaya - Mzee mwanakijiji
Fundraising -
Tiba mbadala - Mzizi Mkavu
endeleza list na ikiwezekana jaza majina kabisa au kama unadhani wewe ni mahiri kwenye jambo fulani basi jipendekeze wewe mwenyewe
Ni tumaini langu kuwa wazo hili halitakutana na mzaha...
 
duh.. mbona mimi nimebebeshwa majukumu mengi...?

Haki za Kina Mama, Watoto na Maendeleo ya Jinsi - Woman of Substance
Sheria - Augustoons
Michezo - Wacha1
 
Sheria - Augustoons

Hapo kwenye sheria mimi ningesema our own Philadelphia lawyer - Tindikali wa Kuhani bin Dilunga.....

Hili lijamaa ukiwa nalo kama defense attorney chansi ya kushinda ni kubwa sana maana kwenye cross examination lazima liwapelekeshe watu wa mashitaka.....
 
Ikija kwenye mambo ya fashion, party na mengine yaendanayo na hayo basi muone Cuppy....

Mambo ya ngono mtafute Ujengelele...
 
Ni kweli kuna watu humu ndani wanatoa michango ya kujenga sana, na wengi tumenufaika na michango ya baadhi ya watu. Pia tunaburudishwa sana. kuna kipindi nikiwa-down huwa nakuja huku, nachekaaaaaaaaaaa mpaka mood inarudi normal.
 
Ila ni bora mtu ukiwa na tatizo uende ukamwone mtaalamu wa hilo tatizo ana kwa ana kuliko kutegemea watu wenye majina bandia ambao hujui kama ujuzi wao ni wa kugoogle au kweli wamebobea kwenye fani zao. Kuweni waangalifu na mitandao.
 
Ndugu hujafanya utafiti -- hii ndio post yako ya kwanza kuboronga


Hujaeleweka ndugu yangu...kuwa muwazi zaidi..ni nani unamzungumzia na kaboronga kivipi wakati hapa tunashirikishana? Hili nalo linahitaji utafiti gani?
 
Hujaeleweka ndugu yangu...kuwa muwazi zaidi..ni nani unamzungumzia na kaboronga kivipi wakati hapa tunashirikishana? Hili nalo linahitaji utafiti gani?

Hujamwelewa?! Ana maana kwenye mambo ya 'Tekinolojia' yeye ndiye 'bingwa'! Anahoji kutomtaja kwako!!! Teh teh teh!
 
Hujamwelewa?! Ana maana kwenye mambo ya 'Tekinolojia' yeye ndiye 'bingwa'! Anahoji kutomtaja kwako!!! Teh teh teh!

Umenichekesha sana mkuu. Kweli shy huwa sometime namuona complicator fulani . sasa hapa anasema mtu kaboronga wala hafafanui kaboronga nini.

Kwenye list Naongeza

Usalama wa ICT ,hakimiliki na kikosi cha kupambana na Magendo ya software bandia- Shy
 
JF ni kisima cha maarifa. Kuna wataalamu wa kila nyanja hapa... nimepata wazo ...kwanini tusiwe na database ya wataalamu ili mtu upatwapo na ishu au prob..basi badala ya kuanika bayana.. uwepo uwezekano wa ku PM kwa muhusika na kupata jibu la papo kwa hapo badala ya kuliweka kwenye thread halafu likaanza kuingiliwa na side discussions ilhali mtu unataka msaada wa haraka....au mnaonaje waheshimiwa?

Nimeshaona tuna wataalamu katika nyanja zifuatazo:

Ujasiriamali na biashara - .......................................
Mahusiano ( hapa usiseme!) - Mbu, Nyamayao,Nguli,
Siasa na Uongozi -Mzee Mwanakijiji, Mkandara, Kitila Mkumbo......
Technolojia ya mawasiliano - Invisible,
Masuala ya kimataifa-............................
Lugha ya kiswahili -Mzee Mwanakijiji
Lugha ya kiingereza - Bluray
Vichekesho na nyepesinyepesi - .................................
Uandishi wa riwaya - Mzee mwanakijiji
Fundraising -
Tiba mbadala - Mzizi Mkavu
endeleza list na ikiwezekana jaza majina kabisa au kama unadhani wewe ni mahiri kwenye jambo fulani basi jipendekeze wewe mwenyewe
Ni tumaini langu kuwa wazo hili halitakutana na mzaha...

Sorry WS ingawa umesema hakutakuwa mzaha nimeshindwa kujizuia kucheka baada ya kumuona Mzizi Mkavu na idara yake ta Tiba mbadala na asilia. Kweli hii inamfaa naunga mkono

Nakumbuka alitoa ushauri kwa mdau mmoja afuge bata mzinga wawili ili amalize matatizo yake.
 
JF ni kisima cha maarifa. Kuna wataalamu wa kila nyanja hapa... nimepata wazo ...kwanini tusiwe na database ya wataalamu ili mtu upatwapo na ishu au prob..basi badala ya kuanika bayana.. uwepo uwezekano wa ku PM kwa muhusika na kupata jibu la papo kwa hapo badala ya kuliweka kwenye thread halafu likaanza kuingiliwa na side discussions ilhali mtu unataka msaada wa haraka....au mnaonaje waheshimiwa?

Nimeshaona tuna wataalamu katika nyanja zifuatazo:

Ujasiriamali na biashara - .......................................
Mahusiano ( hapa usiseme!) - Mbu, Nyamayao,Nguli,
Siasa na Uongozi -Mzee Mwanakijiji, Mkandara, Kitila Mkumbo......
Technolojia ya mawasiliano - Invisible,
Masuala ya kimataifa-............................
Lugha ya kiswahili -Mzee Mwanakijiji
Lugha ya kiingereza - Bluray
Vichekesho na nyepesinyepesi - .................................
Uandishi wa riwaya - Mzee mwanakijiji
Fundraising -
Tiba mbadala - Mzizi Mkavu
endeleza list na ikiwezekana jaza majina kabisa au kama unadhani wewe ni mahiri kwenye jambo fulani basi jipendekeze wewe mwenyewe
Ni tumaini langu kuwa wazo hili halitakutana na mzaha...

Ningependekeza WomanOfSubtance awe kwenye part ya mahuasiano na mapenzi. Kuna mambo mengi kuhusu wanawake ambayo hatuyafahamu, yeye anaweza kutufahamisha mambo kama anatomy ya mwili wa mwanamke, na passwords za kuingia kwenye woman's brain.
 
Hapo kwenye sheria mimi ningesema our own Philadelphia lawyer - Tindikali wa Kuhani bin Dilunga.....

Hili lijamaa ukiwa nalo kama defense attorney chansi ya kushinda ni kubwa sana maana kwenye cross examination lazima liwapelekeshe watu wa mashitaka.....
Huyu Tindikali yupo?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom