Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Habari zenu wakuu.
Wengi wetu natumaini tulikuwa tuna habari juu ya msiba mzito uliompata Smile wa kufiwa na mama yake. Kupitia thread ile alijulisha mazishi yalikuwa leo (Jumatano).
Baada ya uzi huo kupandisha JF Wing Arusha tulijipanga kuona jinsi tutavyoweza kuwakilisha kwenye msiba huo. Tuliitisha kikao cha dharura na kufikia maazio ya kila mmoja kuchanga kwa jinsi atavyoweza.
Kwa moyo wa ajabu watu walijitoa na shukrani za pekee kwa wageni wetu tuliokuwa nao siku hiyo Kaizer na Dark City kwa kutupa support kubwa bila kusahau changamoto mbali mbali.
Hivyo leo ndiyo tuliopata nafasi ya kuwakilisha, kiukweli Smile ameshukuru sana ushirikiano wa wanaJF wote mliomsupport kuanzia kwenye thread mpaka wale waliompigia simu. Japokuwa alikuwa yupo katika wakati mgumu lakini aliendelea kufarijika kila dakika kutokana na jinsi ambavyo mlivyokuwa mkimfariji.
Kwa mantiko hiyo napenda kuwajuza hicho ndicho kilichoendelea leo hii katika sherehe ya kumuuaga mama yetu, mama Smile.
PakaJimmy, Preta, marejesho, LiverpoolFC, Lily Flower, Blaki Womani, sweetlady, Mamzalendo, Filipo, Mtumishi Wetu, Erickb52, Crashwise, Arushaone, Mungi, Jackbauer, Saharavoice,
Wengi wetu natumaini tulikuwa tuna habari juu ya msiba mzito uliompata Smile wa kufiwa na mama yake. Kupitia thread ile alijulisha mazishi yalikuwa leo (Jumatano).
Baada ya uzi huo kupandisha JF Wing Arusha tulijipanga kuona jinsi tutavyoweza kuwakilisha kwenye msiba huo. Tuliitisha kikao cha dharura na kufikia maazio ya kila mmoja kuchanga kwa jinsi atavyoweza.
Kwa moyo wa ajabu watu walijitoa na shukrani za pekee kwa wageni wetu tuliokuwa nao siku hiyo Kaizer na Dark City kwa kutupa support kubwa bila kusahau changamoto mbali mbali.
Hivyo leo ndiyo tuliopata nafasi ya kuwakilisha, kiukweli Smile ameshukuru sana ushirikiano wa wanaJF wote mliomsupport kuanzia kwenye thread mpaka wale waliompigia simu. Japokuwa alikuwa yupo katika wakati mgumu lakini aliendelea kufarijika kila dakika kutokana na jinsi ambavyo mlivyokuwa mkimfariji.
Kwa mantiko hiyo napenda kuwajuza hicho ndicho kilichoendelea leo hii katika sherehe ya kumuuaga mama yetu, mama Smile.
PakaJimmy, Preta, marejesho, LiverpoolFC, Lily Flower, Blaki Womani, sweetlady, Mamzalendo, Filipo, Mtumishi Wetu, Erickb52, Crashwise, Arushaone, Mungi, Jackbauer, Saharavoice,
Last edited by a moderator: