hi dear.....mambo.....kwenye huu mradi nipo kama mwanaJF mwenye nia njema sana na jukwaa letu hili kwa ujumla
Tengeneza mali lete mtaani, itapata wateja whatsoever!...Kwishney!..Saundi mingi za nini weye?.bado hazijatengenezwa mpenzi.......ni kwambaaaaaa....jeee....mtazitaka?
Gari langu mimi la kukokotwa na punda (donkey cart), wheel covers zitadondokaMkuu vipi kuhusu wheel covers.........zije?
Sa mbona unakauka nazo!...Lete manyuzzz hapa ...Wengine hatutaniwi bana...Kama vipi nirushie makontakti!bado nina salamu zako wewe.........
namna nzuri ya kujitangaza, angalia ni vp utanisaidia mm nibandike bango's za jf katika mabasi yangu ya mikoani. nataka nibandike nyuma kule, ntafuta zile za Arsenal for the nourishment of Jamiiforums.
hahahaha babu bwana!Aisee mi ntengenezeeni bendera ya JF niitinge kwa baisko yangu.Hii ya Simba imeshaanza kufubaa.
ndio maana mimi penda wewe. Na hiki kitengo kinakufaa. Ngoja nifikirie maidea mengine.ma-idea yanayotakiwa ni kama haya.......hii ndani ya list tayari...Mpwapwa jua bai bai
hapana bana....si unaona hata kwenye nguo imeanza t-shirt baadae zitafuata nguo nyingine......kwahiyo kwa hapa tujaribu kwanza na hizo wheel cover......ikiwezekana na huwezi jua ya Mungu mengi inaweza kufikia kukatoka gari aina ya JF.....he he he