Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Aulizaye ataka kujua,
Hivi kuna wanaJF waliosoma Ihungo? Mie nilisoma mwanzono mwa miaka ya 1980. Nakumbuka yafuatayo:
1. Ile njia ya Japan inayotokea Kashai?
2. Ule Mti wa Balaa kama unaenda Kashozi?
3. Yale madishi ya ugali na maharage na mikiki unapokuwa server? Vipi kupiga kiatu?
4. Mabweni yetu: Uluguru, Knjaro, Ergon, Meru na Rwenzori?
5.
6.
7.
Hivi kuna wanaJF waliosoma Ihungo? Mie nilisoma mwanzono mwa miaka ya 1980. Nakumbuka yafuatayo:
1. Ile njia ya Japan inayotokea Kashai?
2. Ule Mti wa Balaa kama unaenda Kashozi?
3. Yale madishi ya ugali na maharage na mikiki unapokuwa server? Vipi kupiga kiatu?
4. Mabweni yetu: Uluguru, Knjaro, Ergon, Meru na Rwenzori?
5.
6.
7.