Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Alikuja na story oooh Mvua mjini eti ilinyesha Posta tu!
Hahahaha ile kitu kiboko mi ningezima pale pale nikashtukia mchezo mnene
Alikuja na story oooh Mvua mjini eti ilinyesha Posta tu!
Usahaulifu huo...heheeheh!Nani huyo tena unamwedea undercover?!
Kweli kabisa lakini mi nitaenda hapo Simba kapakatwa nasikia pana mambo makubwa nionane na hao wadau
Hahahaha ile kitu kiboko mi ningezima pale pale nikashtukia mchezo mnene
kuna majina fulani mawili nataka nifike mpaka mwisho wake mana nimehakikishiwa ni mtu mmoja sasa watu wanamna hio lazima kuwalipua huo ndio upuzi hatupendi kufuga.
Hahahahaahah mjanja sana wewe! Ukakimbilia Castle Lite
Kwanini ufike mwisho wakati umehakikishiwa? Unapoteza limited resources bure
dadafua.
Aisee kweli...kazi tunayo!Si ma underground mpaka tuje tutoke ni ishu kwa mpango huu eti ehee?
Kipi usichoelewa ama uko Bar?
hizi kauli zimenichosha sipewi majibu kamili ngoja nirushe uzi wao.
Kwahiyo ni kwamba mnaturingishia ama?!Embu hamieni chemba na story zenu za castle lait hapa!Kwanini ufike mwisho wakati umehakikishiwa? Unapoteza limited resources bure, Im honestly thinking ur in a very wrong thread...
Romance kwani huyo mtu/watu wanafanya uharibifu wowote kwa hizo ID?!hizi kauli zimenichosha sipewi majibu kamili ngoja nirushe uzi wao.
Kwahiyo ni kwamba mnaturingishia ama?!Embu hamieni chemba na story zenu za castle lait hapa!
Kwahiyo ni kwamba mnaturingishia ama?!Embu hamieni chemba na story zenu za castle lait hapa!
Nooo...ntamtoa bar nimpeleke kwenye maziwa!!Lait kifaransa ni Maziwa ....sasa wewe unataka mletea Fidel Maziwa Bar?
Eti ehhh?!Haya ngoja nimwombe baba mchungaji ruhusa!Njoo upige bambucha najua huo mziki hapo juu huuwezi unaweza ukaumwa mwezi mzima
Romance kwani huyo mtu/watu wanafanya uharibifu wowote kwa hizo ID?!