kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
nawakaribisha kiota cha SIMBA KAPAKATWA kupata moja moja ya kushtua kabla ya kuelekea kijiwe cha Sinza!!. then Jumapili Church ambapo mtumishi wa Mungu Aspirin atakuwa anaongoza ibada akisaidiwa na mjukuu wake Mwanajamii one. at the same time TEAMO atakuwa anarudishwa kundini.
Afrodensi, Lizzy na FL1 ni mashahidi wa matukio yote!! bila kumsahau baba mchungaji masanilo
si mnajua sisi watu wa mashambani tumekuja mujini daisalamu (Dar City) kutembea kidogo.
C u all
Afrodensi, Lizzy na FL1 ni mashahidi wa matukio yote!! bila kumsahau baba mchungaji masanilo
si mnajua sisi watu wa mashambani tumekuja mujini daisalamu (Dar City) kutembea kidogo.
C u all