Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Katika pitapita zangu,nikiwa na shida ya kutafuta mwenza,mimi ni He/ nikakutana na binti mmoja tukazoeana,na tukapendana sana na nikampeleka mpaka hme,na nilivutiwa zaidi na zaid baada ya kuniambia kwamba yy ni bikira hajawai kktana na mwanaume yyte,mimi nkasema dont worry,ayo yote kama ni kweli si ntayaona tu,Kituko bas,i kumbe ana jamaa alishamwaid mpaka ndoa,Mungu alivyo mkubwa leo akaandika sms kwa nia ya kumtumia uyo jamaa si kasaau kaisendi kwangu, yani apa nlipo nimelowana jasho mwili mzima,cjui nchukue uamuzi gani juu yake,ila ananiomba msamaha wadau nifanyeje ihii mambo??