Jf/wadada kwa wakaka nipo chini ya miguu yenu naomba msaada

Mangimeli

JF-Expert Member
Sep 15, 2011
1,151
286
Katika pitapita zangu,nikiwa na shida ya kutafuta mwenza,mimi ni He/ nikakutana na binti mmoja tukazoeana,na tukapendana sana na nikampeleka mpaka hme,na nilivutiwa zaidi na zaid baada ya kuniambia kwamba yy ni bikira hajawai kktana na mwanaume yyte,mimi nkasema dont worry,ayo yote kama ni kweli si ntayaona tu,Kituko bas,i kumbe ana jamaa alishamwaid mpaka ndoa,Mungu alivyo mkubwa leo akaandika sms kwa nia ya kumtumia uyo jamaa si kasaau kaisendi kwangu, yani apa nlipo nimelowana jasho mwili mzima,cjui nchukue uamuzi gani juu yake,ila ananiomba msamaha wadau nifanyeje ihii mambo??
 
Piga chini ,samaha wa nini wakati muda wote alikuwa anakuchezea akili huyo asikuchanganye na si ajabu hana cha ubikira ana interests zake kwako na hata ukimuoa si ajabu akaendelea naye kimya kimya. Kwakuwa ushaujua mwanzi mwisho hautakusumbua
 
franky speaking, i don't know why some men are easily duped by this bikra thing...
 
Namsubiri yule aliesema hivi karibuni kuhusu mods wa kike kubana miguu. In case hujanielewa, ni kuhusu matumizi ya maneno "nipo chini ya miguu yenu".

On a serious note: Kuna haja gani kuishi na mtu usiemuamini au hutakuja kumuamini mbele ya safari? Ingekutokea baada ya kumuoa angalau tungekwambia kula jiwe, lakini mwanzoni brother?
 
oya bikira miyeyusho it has no advantage over zile zilizotumika....kama muongo at this stage ya maisha,ikifika wakati wa ndoa itakuwaje?
 
upi huu??

205916_210063485709768_100001183559085_528491_6574705_n.jpg
 
haya mambo maghumu kijana usikmbilie ukiona umeonyweshwa red kwenye traffic light usisubiri ugongwe na gari ujue umekufa
kula hiyo funga nayo mwaka basi
254665_210967432286040_100001183559085_530866_7665601_n.jpg



Julie Benard
 
Sasa unataka msaada gani?
Kama hujali msamehe muendelee, kama unajali mwambie aende kwa huyo jamaa mwingine.
 
Katika pitapita zangu,nikiwa na shida ya kutafuta mwenza,mimi ni He/ nikakutana na binti mmoja tukazoeana,na tukapendana sana na nikampeleka mpaka hme,na nilivutiwa zaidi na zaid baada ya kuniambia kwamba yy ni bikira hajawai kktana na mwanaume yyte,mimi nkasema dont worry,ayo yote kama ni kweli si ntayaona tu,Kituko bas,i kumbe ana jamaa alishamwaid mpaka ndoa,Mungu alivyo mkubwa leo akaandika sms kwa nia ya kumtumia uyo jamaa si kasaau kaisendi kwangu, yani apa nlipo nimelowana jasho mwili mzima,cjui nchukue uamuzi gani juu yake,ila ananiomba msamaha wadau nifanyeje ihii mambo??

Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!
 

Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!

Aisee!
 

Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!

kumbee!!
 
kusuka au kunyoa ni uamuzi wako

kama upo tayari ku-share
kama upo tayari kumwamini then endelea nae
 

Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!

Duh, JF shule jamani, kwahiyo kuonja onja huko na kule kuna advantage kubwa kumbe....ama kweli kila kitu kina uzuri na ubaya ni wewe tu utakavyoamua kuchukulia.....!!

Anyway, ushauri wangu mimi ni kuwa huyo dada si mwaminifu, wewe waujua uhusiano wenu vizuri,tulia kumbuka yote then fanya uamuzi,kama anaustahili msamaha fanya hivyo,ukiona haustahili basi kila la kheri,wanawake tumezidi hapa duniani,wengi mno!!
 
huyo market value yake imeshuka so piga chini auikiwezekana mguze awe hawara
 
franky speaking, i don't know why some men are easily duped by this bikra thing...
I second that as well.

@Thread; Yani wewe umeisha toka jasho kabla hajawa mke wako, je akisha kuwa mke wako....Pole ndugu.
 
toka nduki halafu kanae mbali ili usimfikirie sana wewe usisubiri kuumia zaidi mapema toka nduki kila la kheli bwana harusi mtarajiwa..
 
..yani ushafahamu yote hayo lakini ukatoka na kijasho?..sasa wamtakia nn binti ambaye hata dudu hujampa?..akili za nguruwe changanya na zako then piga chini,maduu kibao kitaa tena wenye bikra za kweli..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom