Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
- Thread starter
- #41
Kulinganisha JF na Facebook ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu.Huko facebook hakuna la zaidi ila ni kuambiana tu mmependeza jamani,lakini ukija humu sidhani kama kuna kitu utakosa katika nyanja zote za maisha na hata ukitaka Breaking News hapa ndio penyewe,Mfano mimi nipo nje ya nchi lakini mabomu ya Gongo la Mboto yalipolipuka taarifa ya kwanza niliipata kwa sms toka kwa JF member nikakimbilia kwenye Pc yangu lakini katika mitandao yote ni JF pekee iliyotoa live coverage wengine wote walitoa report kesho yake,na huo ni mfano tu sasa utalinganisha JF na hiyo takataka?
God bless JF and keep it strong forever. That is my daily morning pray