JF vs FACEBOOK

Kulinganisha JF na Facebook ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu.Huko facebook hakuna la zaidi ila ni kuambiana tu mmependeza jamani,lakini ukija humu sidhani kama kuna kitu utakosa katika nyanja zote za maisha na hata ukitaka Breaking News hapa ndio penyewe,Mfano mimi nipo nje ya nchi lakini mabomu ya Gongo la Mboto yalipolipuka taarifa ya kwanza niliipata kwa sms toka kwa JF member nikakimbilia kwenye Pc yangu lakini katika mitandao yote ni JF pekee iliyotoa live coverage wengine wote walitoa report kesho yake,na huo ni mfano tu sasa utalinganisha JF na hiyo takataka?

God bless JF and keep it strong forever. That is my daily morning pray
 
Nasjaz asante sana kwa kuwa unafunga na kuomba kwa ajili ya kuiombea JF. Hata maandikoi yanasema wamebarikiwa waiombeao Israel. JF ni Taifa kubwa kama Israel
 
Nipo FB kama miezi 6 sasa, hakuna la maana huko, wamejaa watu wenye fikra mgando, ukitoa hoja wanashambulia mtoa hoja! Wachache wanaofikiri kwa kina, japo wanazid kumezwa na ujinga wa huko. Ni mwezi sasa toka nijiunge JF, Najiuliza nilikuwa wapi, siku zinavyokwenda nazidi kuwa makini, naweza kusimama mbele za watu na kujenga hoja za msingi. Huko fb kuna status kama " i love u" "nimechoka", na watu kibao wanacomment. Jana nimewapelekea habari za dodoma na karimjee, wamebak kutoa macho. Kizazi kinaharibiwa huko Fb.
 
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.

Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).

Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.

I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS

kweli kabisa unayosema lakini Advantage moja ya facebook.. unaweza ukakutana na profile ya swahiba au mtu uliyepotezana naye kitambo saaana, na nimekutana nao wengi sana kule.
 
Facebook?!
Mambo yote Jf.
Fb mapenzi zaidi single unit. Unprogramed memberz.
Jf complex unit covers all spheres of life. Programed.
 
kweli kabisa unayosema lakini Advantage moja ya facebook.. unaweza ukakutana na profile ya swahiba au mtu uliyepotezana naye kitambo saaana, na nimekutana nao wengi sana kule.

hii ni kweli
 
Facebook?!
Mambo yote Jf.
Fb mapenzi zaidi single unit. Unprogramed memberz.
Jf complex unit covers all spheres of life. Programed.

nafikiri ukiweza kutofautisha kati ya Bulletin board system - Wikipedia, the free encyclopedia na social network utapata jibu. All in All JF raha, habari za kitaifa, kmataifa, michezo, hata kwa wanaopenda pumba ":chit-chat:" pia nafikiri JF ni kipimo cha uvumilivu, mara nyingi anatokea mtu thread hajaisoma na kuilewa , anamwaga pumba ambazo hata ngo`mbe hali.
 
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.

Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).

Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.

I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
Hapa ndio nakomaga na watizedi.....wanaojiita ma great thinker....

kama mpaka leo huwezi kutofautisha forums na social network kama facebook,twitter,tagged etc...

forums is an online discussion site where people can hold conversations in the form of posted messages.They differ from chat rooms in that messages are at least temporarily archived. Also, depending on the access level of a user and/or the forum set-up, a posted message might need to be approved by a moderator before it becomes visible

tofauti na facebook
Users may create a personal profile, add other users as friends, and exchange messages, including automatic notifications when they update their profile. Additionally, users may join common interest user groups, organized by workplace, school or college, or other characteristics
---from wikipedia.....
 
Kule FB ulikuwa unatumia ID gani?

Hapa nimefurahi kuijua jinsia yako....siku zote nlikuwa natamani niijue jinsia yako.

Tukirudi kwenye mada....ni makosa na hatari kubwa sana kuzilinganisha FB na JF.......Vitu viwili tofauti kabisa! Ni sawa na kulinganisha JWTZ na Mgambo wa City.
Nimependa hapo kwenye nyekundu mkuu.
 
Kule FB ulikuwa unatumia ID gani?

Hapa nimefurahi kuijua jinsia yako....siku zote nlikuwa natamani niijue jinsia yako.

Tukirudi kwenye mada....ni makosa na hatari kubwa sana kuzilinganisha FB na JF.......Vitu viwili tofauti kabisa! Ni sawa na kulinganisha JWTZ na Mgambo wa City.

Aspirin, fafanua mgambo wacity ni yupi na JWTZ ni yupi....
 
Kuweni waangalifu na hizi forums na social networks are forms of an addiction na watu wengi wamefukuzwa kazi hivyo basi msisahau kufanya kazi kwa faida ya familia zenu. Hapa JF na kule FB hamlipwi mshahara hivyo kushinda siku nzima sio fahari au kusema unakaa wiki nzima humu sio sifa hii ni sehemu ya kupumzikia, kubadilisha mawazo hamna zaidi of course na kupima unachokizungumza usije kuvunja sheria tu.
 
Cha muhimu ni matumizi ya mtu mwenyewe kwani kila mtu na mtazamo wake na upeo wake hivyo kama humu umeona unanufaika zaidi kuliko FB basi wapaswa kukomaa zaidi. Karibu sana.
 
Gud advoce. Food for thoughts
Kuweni waangalifu na hizi forums na social networks are forms of an addiction na watu wengi wamefukuzwa kazi hivyo basi msisahau kufanya kazi kwa faida ya familia zenu. Hapa JF na kule FB hamlipwi mshahara hivyo kushinda siku nzima sio fahari au kusema unakaa wiki nzima humu sio sifa hii ni sehemu ya kupumzikia, kubadilisha mawazo hamna zaidi of course na kupima unachokizungumza usije kuvunja sheria tu.
 
Im so new to this social media ,one of my stuff was discusing some important issues and i asked him where do you got all these infor....,said its Jf , u make me lough,angry ,a lot of breeking news im wondering that i woke up with jf n sleeping with it,I LOVE JF.
 
Nilijiunga FB lakini baada yakuona ujinga mwingi nilijitoa...sikubahatika kuona faida yoyote ukilinganisha na JF...

Nakuunga mkono, FB ilinikatisha stimu muda mrefu, hamna la maana kumejaa upuuzi tu. Mtu anamtumia rafiki yake msg wanafanya kazi ofisi moja, what for? kwani simu haitoshi kutext? kwa waliowengi najua huduma za internet hawana home kwa hiyo wanatumia muda mwingi wa saa za kazi kuchat upuuzi, afadhali hata jf unaweza ukawa na justification kuwa unapata habari za maana ijapokuwa sio wakati wote maana kuna upuuzi hmwingi ti humu pia
 
Back
Top Bottom