B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
nilikuwaa leo naskilizaa mazungumzo ya radio flani,nimeskiaa habari kubwaa zilizo tawala bunge leo mojaa ni kuhusu JAMII FORUM...eti kuna mbunge ameistaki kwa wabunge kwambaa ni mtandao unao tukana na kuzalilishaa watu,akataka uwalali kuhusu kusajiliwaa kwake kutokaa kwa waziri...waziri akasema mtu anae endeshaa jamii forum sio mtanzaniaa na imesajiliwaa njeee?hivi kumbee jamii forum ni mwibaa kwa wengi,inafichuaa maovu ya watu na sirii nyingi,wanataka kuiangamizaa...je kunaa m2 mwenye data full alie sikilizaa bunge la leo.JAMII FORUM ENDEALEA KU FIRE...FIRE ON DEM,MAN SELECTA