KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Katika Kuhitimisha Hotuba yake Mh.Zitto amesema kuanzia kesho watakuwa na karatasi mlangoni kuandika jina na kusaini ikiwa kama kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu!Na idadi ambayo inahitaji ni 70 tu!
Mytake: JF kama jukwaa huru kama mazungumzo ya siku mbili i mean jana na leo kuhusu mwenendo wa serikali na watu tuliyowapa dhamana ya kuongoza wamedhihirisha kushindwa kwa vitendo.
Toa Maoni na sababu zisizo pungua Tatu na zizizo zidi sita ambazo zinafanya hii hoja kumwajibisha waziri mkuu kuwa na mashiko!
Naomba kuwasilisha mod naomba ufanye kazi ya urefa hapa mwisho wasiku tutawasilisha kwa wahusika kwamaana JF pia inawakilisha wengi!
Mytake: JF kama jukwaa huru kama mazungumzo ya siku mbili i mean jana na leo kuhusu mwenendo wa serikali na watu tuliyowapa dhamana ya kuongoza wamedhihirisha kushindwa kwa vitendo.
Toa Maoni na sababu zisizo pungua Tatu na zizizo zidi sita ambazo zinafanya hii hoja kumwajibisha waziri mkuu kuwa na mashiko!
Naomba kuwasilisha mod naomba ufanye kazi ya urefa hapa mwisho wasiku tutawasilisha kwa wahusika kwamaana JF pia inawakilisha wengi!