JF vipi?

Ibrah

JF-Expert Member
Mar 22, 2007
2,729
528
Nina wiki kadhaa sasa nashindwa ku-access JF kupitia . www.jamiiforums.com na badala yake lazima nipitie www. Jambotanzania.net. Je, kunani?

Wadau lazima wapitie Jambotanzania.net? (which is not bad anyway) ingawa pia ni vizuri kupitia www.jamiiforums.com
 
Mkuu Ibrah, sina haja ya kujua pahala ulipo, lakini nadhani tatizo unalopata liko localized. Kuna tatizo la internet kwa sasa Tz kutokana na mkonga wa SeaCom kupata hitilafu, lakini hii sidhani kama itakuwa imepelekea kuwepo tatizo unalolielezea. URL ya jf uliyozoea inaweza kuwa iko blocked kwenye computer yako au kwenye network, check na admin wako au kwenye internet filters zozote ulizonazo hapo kwenye computer locally. Kama siyo filter, basi jaribu ku-search google for "clearing dns cache", sometimes name resolutions huwa zinakuwa corrupted hivyo huhitaji kuwa flushed.

Steve Dii
 
Back
Top Bottom