The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Anasomea jinsi ya kutumia Tindikali milifikiri mnajua wewe na Kongosho tu.Hhhmmm. . .
Pilot?
Shule?
. . . . . . . . . . ?
Anasomea jinsi ya kutumia Tindikali milifikiri mnajua wewe na Kongosho tu.Hhhmmm. . .
Pilot?
Shule?
. . . . . . . . . . ?
Konnie wewe unamjua ni nani? Embu naomba umbea!!He he he, pole bana, simtaji najua na wewe usije ukaniharibia uwanja wangu wa kule.
Hata mie nimeshangaa, kaanza lini shule?
Anasomea jinsi ya kutumia Tindikali milifikiri mnajua wewe na Kongosho tu.
Tantalila hili ni hizi ni simulizi za ufasaha x2
Kwahiyo unataka kuleta zile za hunijui sikujui...lolNamjua??¿¿¿¿¿¿¿¿¿¡¡¡¡
BT,mwaga udaku,si nasikia kuna mahali TF jana kaonekana majirani na nyumbani kwako?
We nawe hata hueleweki!!Umelewa?!
Hahaha na weweKonnie wewe unamjua ni nani? Embu naomba umbea!!
Kwahiyo unataka kuleta zile za hunijui sikujui...lol
Weka chibuku moja ya baridi nipoze koo
Hahaha hahah hahah uwiiiiii jaman lol!HABARI KAMILI:
na mwandishi maalum
-Baada ya Kongosho kuchoropoa mimba ya Asprin,mmewe ajua,amtwanga talaka na kibondo juu,yuko icu.
-Mama Matesha naye ainyaka live,ammmwagia Asprin maji ya betri,uso nyanganyanga,yuko icu
-@Nyagi ngabu amkosa bishanga risasi,kisa wivu,atiwa nguvuni na kubondwa na manjata,yuko icu
-@Cantalisia amfumania rejao na Amyner,amnyofoa rejao korodani Rejao hoi,yuko icu
-@Husninyo amlipua babu DC hadharani,asema ndo alimpa kideti Babu DC apata mshtuko,yupo icu
-Bishanga akaribishwa kwa bashasha unga ltd,aenda usiku,atumbukia kwenye mtaro,kiuno hoi,yuko icu
-Kloro afoji cheti cha ndoa ili alipwe nauli kazini,adai yeye ni mmewe Preta,preta agundua,ampa za uso,yuko icu
Hahahahahahahaaaa babu huu udaku kweli lolUsikose JF udaku la kesho ugundue sakata lililosababisha Husninyo kubadili jinsia na kuwa Mama Ashrat ghafla.